kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Katika Gazeti la leo la Majira kuna ujumbe unaodaiwa kuandikwa na Mh. ZZK kwenda kwa Katibu Mkuu wa Nishati na Waziri Mhusika wa Wizara Bw. Maswi na Prof. Muhongo.
Naomba kuunukuu
Hebu tuchambue busara ya kiongozi iko wapi katika maandishi hayo katika mizani za kawaida pasipo ushabiki?.Naamini kama ZZK amepata washauri wake pengine ni SHETANI pasipo shaka.
Naomba kuunukuu
Maswi, sijawahi gombana na wewe kwa kuwa nakuheshimu sana, tuhuma ambazo wewe na Waziri wako mnatoa dhidi yangu ni uwongo, uzushi na za kupikwa.
Mwambie Waziri wako na wewe binafsi, sijawahi kushindwa vita ya kulinda credibility yangu, sipendi ujinga hata kidogo, mimi nina uhuru wa kusema ninachoamini, sina bei tupambane tu tuone nani ataumia,
Mwambie Waziri wako na wewe binafsi, sijawahi kushindwa vita ya kulinda credibility yangu, sipendi ujinga hata kidogo, mimi nina uhuru wa kusema ninachoamini, sina bei tupambane tu tuone nani ataumia,
Hebu tuchambue busara ya kiongozi iko wapi katika maandishi hayo katika mizani za kawaida pasipo ushabiki?.Naamini kama ZZK amepata washauri wake pengine ni SHETANI pasipo shaka.