FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
Usomi upi huo wa kutaka uwekewe picha, huujuwi mtandao wewe?Tunajadiliana kisomi faiza,au hujui maana ya mdahalo unaanza kupanic mpendwa
Usomi upi huo wa kutaka uwekewe picha, huujuwi mtandao wewe?Tunajadiliana kisomi faiza,au hujui maana ya mdahalo unaanza kupanic mpendwa
Mimi niko Tz siko Tunis, wewe uliyeleta mada hapa Tz forum ndiyo unawajibika usijibaraguze.Kama hujaisikia au hukua kwenye maandamano pale tunis kuipinga kauli hii usichangie utapotosha umma.
Sasa tatizo lako mdogo wangu unaanza kutumia lugha za kejeli kama"Juha"".Basi mimi sijadiliani tena na wewe,bali wasomi wenzangu wanaojua kujibu hoja kwa ustaha wa lugha,matamshi na hojaWewe kweli juha, juzijuzi tu walivyouliwa na jufukuzwa Waafrika huko Afrika Kusini walifukuzwa kwa rangi zao? Au umesahau?
Mimi sijadiliani tena wewe ,wacha nijadiliane na wanazuoni wenzangu wa siasa wenye lugha za staha.Nashukuru kwa mchango wakoUsomi upi huo wa kutaka uwekewe picha, huujuwi mtandao wewe?
Hundreds of protesters denounce president’s racist remarks in Tunisiaweka hiyo speech yote siyo kipande unachokipenda wewe
Mambo mengine kwa Mtu mzima kama wewe hata hutakiwi kutetea kwa kulinda misimamo yako ya kidini. “Wrong is Wrong” Popote Unapofanyika ujinga kwa hali yoyote unatakiwa kukemewa bila kujali lolote. Ili limefanywa na muhindi mchina mwarabu mzungu au vyovyote vile. Tuache kuvaa miwani ya mbao ni aina nyingine ya upumbavu.Wewe kweli juha, juzijuzi tu walivyouliwa na jufukuzwa Waafrika huko Afrika Kusini walifukuzwa kwa rangi zao? Au umesahau?
Sawa mkuu ingekua vyema ufafanue wewe speech yake.Sisi wote tunaojadiliana humu na wale walioandamana mjini tunis hatukuelewa context of his speech.Karibu mkuuMimi niko Tz siko Tunis, wewe uliyeleta mada hapa Tz forum ndiyo unawajibika usijibaraguze.
It seems you do not understand the context of his speech
Upo sahii mkuu sababu ya nasaba za kidini watu huupinga ukweli.Nimewauliza maana neno USTA-ARABU kama wanalielewaMambo mengine Mtu mzima mwenye hekima hata hutakiwi kutetea kwa kulinda misimamo ya kidini. “Wrong is Wrong” Popote Unapofanyika ujinga kwa hali yoyote unatakiwa kukemewa bila kujali lolote. Tuache kuvaa miwani ya mbao ni aina nyingine ya upumbavu
TuibagueReason behind?
Hoja yako imekaa kiujuaji haina maana juu ya lengo la Mwandish,Unaishia kufoka tu na hata hujui Africa ina race zipi,unachojua wewe kila mtu mweusi aliye Africa ni mbatu,poor!! Watu weusi wapo wengi tofauti na wabantu unaowatangaza wewe ambao ni nilotes,cushites,khoi(bushmen)(clicking sound)
Acha kukalili kijana!!
Wale sio waarabu nakataa mbona team zao Al hilal na El mareek hamna hata mwarabu koko mmojazipo sudani mbili, ile ya kaskazini ni ya waarabu na wapo kwenye umoja wao dunianiani
Labda wewe mkuu unisaidie kumweleweshaHoja yako imekaa kiujuaji haina maana juu ya lengo la Mwandish,
Sudani kasikazini wabantu wapo na kwenye michezo hasa soka ni wabantu,wahabeshi na wanubi.Wale sio waarabu nakataa mbona team zao Al hilal na El mareek hamna hata mwarabu koko mmoja
Mbona mliandamana kule China walipoamua hawataki kitabu chenu?Yuko sahihi. Nchi ni yao wana haki ya kuamua utaratibu wao. Hapo Kenya wameandamana kuwapinga Wachina haionekani kama ubaguzi ilihali nao ni ubaguzi tu.
Akina Petro hawakosag katika kundi la waungwana.Labda wewe mkuu unisaidie kumwelewesha
Sudan kasikazini iwe na waarabu tushindwe kuwaona kwenye team zao mbona hao kina raja Casablanca, Al ahly, zamareki, esperance tunawaona waarabu ila Sudan hamna hata mmoja angalau hata mwarabu kokoSudani kasikazini wabantu wapo na kwenye michezo hasa soka ni wabantu,wahabeshi na wanubi.
Kumbuka amegusia mambo ya migrants ??? Sasa migrants wanatoka wapi!?Unaishia kufoka tu na hata hujui Africa ina race zipi,unachojua wewe kila mtu mweusi aliye Africa ni mbatu,poor!! Watu weusi wapo wengi tofauti na wabantu unaowatangaza wewe ambao ni nilotes,cushites,khoi(bushmen)(clicking sound)
Acha kukalili kijana!!
Swali zuri nenda pale Khartoum kwenye academy za michezo afu angalia uwiano wa watoto wa kinubi,kiarabu,kihabeshi katika mchezo wa soka,utaona wanubi na wahabeshi wamezidi kwa wingi.Hata kule north darfur jamii za waarabu hawachezagi soka.Sudan kasikazini iwe na waarabu tushindwe kuwaona kwenye team zao mbona hao kina raja Casablanca, Al ahly, zamareki, esperance tunawaona waarabu ila Sudan hamna hata mmoja angalau hata mwarabu koko
Kesho tuletee na habari za afrika kusini kuua waafrika wenzao huko kwao na kuwataka kuondokaKwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.
Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.
Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia
=====
Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.