ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,838
Habari Wabantu wenzangu,
Rais wa Tunisia Saied Kais amenukuliwa akisema kwamba kuna njama ya kuua utambulisho wa taifa lake wa Kiarabu kwa kuligeuza taifa la Afrika unaosababishwa na wimbi kubwa la wahamiaji haramu wa Kiafrika kutoka Sub-Sahara.
Rais huyo dikteta amesema lengo la kubadili rangi ya watu wake halitafanikiwa kwani atalikabili kwa nguvu zote.
My Take.
Hivi haya Maarabu ya Afrika Kaskazini kwa nini yasiwe yanatambuliwa upande huo wanakojipendekeza?
Na sie Africans tuboreshe maisha ya watu wetu ili waache kukimbia nchi zao, mwisho wa siku wanabaguliwa, kunyanyasa na kudhalilishwa kama huyu mpuuzi anavyosema.
======
Tunisia's President Kais Saied says there is a plot to change his country's racial demography with the influx of undocumented Sub Saharan African migrants. "The goal of the waves of illegal immigration is for Tunisia to be considered purely African with no affiliation to Arabs".
Africa Fact Zone
Rais wa Tunisia Saied Kais amenukuliwa akisema kwamba kuna njama ya kuua utambulisho wa taifa lake wa Kiarabu kwa kuligeuza taifa la Afrika unaosababishwa na wimbi kubwa la wahamiaji haramu wa Kiafrika kutoka Sub-Sahara.
Rais huyo dikteta amesema lengo la kubadili rangi ya watu wake halitafanikiwa kwani atalikabili kwa nguvu zote.
My Take.
Hivi haya Maarabu ya Afrika Kaskazini kwa nini yasiwe yanatambuliwa upande huo wanakojipendekeza?
Na sie Africans tuboreshe maisha ya watu wetu ili waache kukimbia nchi zao, mwisho wa siku wanabaguliwa, kunyanyasa na kudhalilishwa kama huyu mpuuzi anavyosema.
======
Tunisia's President Kais Saied says there is a plot to change his country's racial demography with the influx of undocumented Sub Saharan African migrants. "The goal of the waves of illegal immigration is for Tunisia to be considered purely African with no affiliation to Arabs".
Africa Fact Zone