Maneno haya ni ya Kiswahili?

matawi ya juu
ATM
kujiachia
usipime
adabu tupu
Kubambia
mwana
Majita
mwake
michosho
mkwanja
kichaa wangu
kumchomolea
kumpa sound
Unanitega unanitaka
manjemanje
kupiga mkeka
kutia timu
manjemanje
kumdakisha
Nyomi
Shalo tina tina
aminia
Mdosho
Kama kawa
full chaja
serengeti girls/boy
kicheche Haya kama kuna mtu anaweza kunitafsiria haya maneno mimi siyajuwi kwa kiswahili maana yake asanteni
Hayo maneno yaliyoko kwenye rangi nyekundu ni ya kiswahili.
Labda kama unauliza kimaanishwacho yatumiwapo kama misemo.
 
Naongezea MACHALE

Machale = Asli haswa ni kwa wale wahalifu wenye kutumia uchawi wa kuchanjwa chale, na wanapokuwa maala wakifanya uharifu inaaminika kwamba chale huwa zinawacheza kwa maana ya kuwataadharisha hatari itakayo wakabili.

Baadae ili neo likaingia mtaani na kutumika na watu haswa vijana... utasikia mtu akisema kuwa jana kidogo nikamatwe (Nibambwe) na mwenyewe ila chale zilicheza nikakimbia.
 
Back
Top Bottom