Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Maneno haya ni ya Kiswahili?
Wakuu, maneno yafuatayo hutumika sana katika mazungumzo ya kiswahili.
Je matumizi ya maneno haya na maana zake humaanisha kuwa maneno haya ni ya kiswahili?
Mdosi,
Ngangari,
Vigogo,
Mkenge,
Changudoa,
Dingi,
Ng'atuka,
Kipute,
Ndinga,
Kobis,
Kibosile,
Wakuu, maneno yafuatayo hutumika sana katika mazungumzo ya kiswahili.
Je matumizi ya maneno haya na maana zake humaanisha kuwa maneno haya ni ya kiswahili?
Mdosi,
Ngangari,
Vigogo,
Mkenge,
Changudoa,
Dingi,
Ng'atuka,
Kipute,
Ndinga,
Kobis,
Kibosile,