Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Who is who? Why?
Nani ni nani na kwanini?
Nani ni nani na kwanini?
Man Utd!..Chama kubwa hilo
Man Utd!..Chama kubwa hilo
BJ, Naona leo umeama timu shauri yake manake tunaelekea Roma!!
Leo MU atapigwa bao 2!
BELINDA,
Kutangulia si kufika.
MU ni chama kubwa hata nyumbani kwa Arsenal?
Dizaini fulani unataka mshinde ila unasema timu nyingine inashinda kupunguza presha...
Shadow,leo tunataka ushindi siyo majeruhi jamani!!!
Man Utd!..Chama kubwa hilo
Exaud!
Inawezekana 'mcheza kwao hutunzwa'..tutapata uhakika baada ya mechi
Wewe uko upande gani leo hii?
BELINDA,
Mimi sina upande.
Nahitaji mwana-JF atakayenishawishi niwe upande wake.
Mimi nataka upande utakao shinda ili nisikose usingizi leo.
BELINDA,
Mimi sina upande.
Nahitaji mwana-JF atakayenishawishi niwe upande wake.
Mimi nataka upande utakao shinda ili nisikose usingizi leo.
Kama unataka kushawishika kaa chini tizama soka mechi ikiisha nina uhakika utakuwa umeshawishika na timu itakayokuwa imecheza soka nzuri na ya uhakika.
Kama unataka kushawishika kaa chini tizama soka mechi ikiisha nina uhakika utakuwa umeshawishika na timu itakayokuwa imecheza soka nzuri na ya uhakika.
MANU matumbo yao yanachemka na wana wasiwasi wa hali ya juu. Wanainama wanainuka wanaona haya haoooooooo ha ha ha ha 2-0
ICADON,
Hapa unanifanya nisiangalie mechi kabisa.
Kumbe mashabiki wote hutamba kwa kubahatisha?