ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Nilijua Tuu hawa Jamaa walivyo Tukamia Lazima Waje na Comeback
Machezaji yanalipwa pesa kibao yanachofanya hakieleweki, hata pasi tano tu dhidi ya Aston vila hakunaTimu haipigi hata pasi 10 zenye uhakika
Hali ni Tete!
Kocha mzito kweli wa kufanya sub kwenye kiungo
Ss atamuweka nani mkuu?Kocha mzito kweli wa kufanya sub kwenye kiungo
Waliopo benchiSs atamuweka nani mkuu?
Waliopo benchiNani aingie?.
Angetoa Cavani aingie Van Der Beek.Kocha mzito kweli wa kufanya sub kwenye kiungo