permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,220
Mourinho siyo kama Ole anayehitaji kujengat timu kwa miaka kumi, Mounrinho ni kocha wa mtoano, mpe wachezaji anaowahitaji katika mfumo wake, misimu miwili ikipita bila kombe itakuwa ameshindwa kazi, na akichukua makombe huondoka piaOld trafford walikuwepo mbona tuliwapakata..Mourinho hapo Spurs Levy atamtimua kama mbwa koko ni swala la muda tu