Hahahahahaha unalo la kusema???? Achana na mashetani waleUkitaka ikauke haraka ianike ndani ya friji ili uwahi kushuhudia mkifungwa leo
miminiko bwawa la maini, tumefuli, ila leo nataka nikaone nani ni nani.....
Code:Leo ni leo, nilifua jezi yangu ya manchester ili nivae tutakapoenda kuwasulubisha wanaojifanya wajuaji wa chelsea, ila na hii mvua haijakauka hivo nimeianika nyuma ya fridge. Hureeee viva manchester na mashabiki wake dunia nzima. lazima tuwatoe kamasi hawa mabwana wadogo leo.Hureee uwanja wa nyumbani jamani
you will never walk alone gaga on this one.........
A natural striker, yaani its a joke kuwa only 7M kijana kavutwa na babu. Ukimfananisha na yule legelege Tores, 50M ni kichekesho. Yaani bora hata wangemnunua Samatta kwa 1M, na nyingine 0.2M wakamchukua Nsajigwa
Drogba na Obi wanaliangalia kwa uchungu sana goli hili la Vidic.
Ogah, umenichekesha mkuu!..lol, what a red and beautiful monday!..no more blue mondays)
Park anaitwa Three Lungs jamaa sijui anakula nini.