kitwala
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,476
- 1,066
baadhi ya mambo van gaal aliyozungumzia leo kwenye PC yake kuelekea mechi ya kesho na Newcastle;
alivoulizwa kuhusu ishu ya Pedro, van gaal kasema: "I cannot lie, he did fit the profile, but
I never said I was interested. [The media]
said I was interested." lakini waandishi walivomkaomalia kuhusu hii ishu kawajibu hivi "I
cannot answer these questions, you know
that. I have said it before that what we are
doing is a process. In that process we make
decisions and I think when we wanted Pedro
it was not a problem. That is because there
was a clause in his contract, so it was the
easiest transfer. You can write what you want,
but we cannot.
kuhusu kusajili tena kasema "You
have to wait and see. There's no pressure on
me, we have 28 players."
kuhusu Dave kuendelea kukaa benchi au kuondoka kasema "We shall evaluate [the goalkeeper
situation] the first of September."
alipoulizwa kuhusu tetesi za sadio mane van gaal kasema "I cannot answer. I
don't want to interfere. Ed Woodward is doing
that." "I don't think [the fans] have
to doubt Ed Woodward because he has proven
already for many, many years he is the right
person at the right spot."
baadaye kamalizia kusema Bastian anaweza akaanza mechi ijayo.
#GGMU
Nimependa alivyomalizia angeongezea na hiviii chicha ataanza mbele ya rooney au herrera au mata.