Memphis leo kaonyesha kwanini kanunuliwa kwa bei kubwa....Chris smalling ame improve sana....Luke Shaw nae anaonyesha kwa nini unitedwalitoa milioni kibao kumsajili! Kama leo ytimu ingekuwa serious hawa tungewafunga hata 5-0!!

Hongera kwa ushindi RRONDO
 
Last edited by a moderator:
Memphis leo kaonyesha kwanini kanunuliwa kwa bei kubwa....Chris smalling ame improve sana....Luke Shaw nae anaonyesha kwa nini unitedwalitoa milioni kibao kumsajili! Kama leo ytimu ingekuwa serious hawa tungewafunga hata 5-0!!

Pressure now kwa Rooney...jamaa sijui nini kinamkumba.
 
But homestly we are still vulnerable in the defence side.
Mateo and Luke are picking up as promising defenders but Chis Smalling is still the same but he's considerably improving. Danley is not a natural CB. We need one as much as we need a good striker.
We're in champions league. Those big dogs have no mercy.
Angalau umeongea ukweli na sio kuwa kipofu, big dogs will have no mercy on you! Club Brugge ni kama Celtic Glascow!
 
Memphis leo kaonyesha kwanini kanunuliwa kwa bei kubwa....Chris smalling ame improve sana....Luke Shaw nae anaonyesha kwa nini unitedwalitoa milioni kibao kumsajili! Kama leo ytimu ingekuwa serious hawa tungewafunga hata 5-0!!

Kwa soka ya sasa £25m sio kubwa kumbuka Sterling £49,Benteke £32,Wellbeck 16m,Lalana 25. Kuna watu walimuita Shaw flop but niliwaambia Man United wamepata fullback wa uhakika kwa zaidi ya miaka 9,majeruhi tu yalimsumbua msimu uliopita
 
huwa napenda sana Bastian yeye akiingia kazi yake kubwa nikuwaelekeza vijana, muda mwingi utamuona anaelekeza na yeye pia akipata mpira huwa anautendea haki.

That what we are saying about experience.
Good job Bastian.
 
Romero bado hajiamini mara nying anaporudshiwa mipira na mabeki..ni muda wa rooney kukaa bench..chicha au wilson wapewe nafasi...fellain 10 ataimudu vzr kutokana na urefu wake..
 
ImageUploadedByJamiiForums1439932974.459733.jpg
 
Back
Top Bottom