Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Memphis leo kaonyesha kwanini kanunuliwa kwa bei kubwa....Chris smalling ame improve sana....Luke Shaw nae anaonyesha kwa nini unitedwalitoa milioni kibao kumsajili! Kama leo ytimu ingekuwa serious hawa tungewafunga hata 5-0!!
Hongera kwa ushindi RRONDO
Last edited by a moderator: