Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
manchester wachutama stamford bridge...priiiiiiiiiiiiiii hah hah haaaaaaa
I believe you can now eat your words...kwa roho safi!!!
manchester wachutama stamford bridge...priiiiiiiiiiiiiii hah hah haaaaaaa
Kumbe huku JF kuna bluz..... karibuni na hongereni kwa ushindi wa j1.
Anyway, hii italeta ladha zaidi kwenye ligi... bingwa ni Man ila hadi mechi ya mwisho!
Hahaha...yaani Roya Roy ulikua hujui tumo?
Hii thread nimekua naifuatilia kwa uoga mpaka
juzi nilipoona mambo yaweza yakawa.
Shukrani kutukaribisha na sasa tumo basi!
Pole sana ndugu yangu. Ni wengi sana mashabiki wa jamii yako!
Wenzako, timu ikifanya vibaya huwa hatuitoroki, tunabanana humo humo! huu ndio uzalendo na upenzi/ushabiki. Kwa mfano hata sasa ikitokea Chelsea wakachukua kombe, hatutahama Man U, tutabanana humu humu!
Afadhali umeweka wazi suala lako, najua utakuwa umejifunza sasa.
Karibu sana!
Halafu Wakuu Idimi&Manda huyu Ab-Titchaz (+wenzake) asije akaingia mitini kama tutapita kwa Baca leo.....nahisi na wao wanaweza kupita kwa bwawa la maini.
Tukikutana fainali ya UEFA itakua perfect revenge!
Hongera Mkuu Icadon!!
Halafu Wakuu Idimi&Manda huyu Ab-Titchaz (+wenzake) asije akaingia mitini kama tutapita kwa Baca leo.....nahisi na wao wanaweza kupita kwa bwawa la maini.
Tukikutana fainali ya UEFA itakua perfect revenge!
Pole sana ndugu yangu. Ni wengi sana mashabiki wa jamii yako!
Wenzako, timu ikifanya vibaya huwa hatuitoroki, tunabanana humo humo! huu ndio uzalendo na upenzi/ushabiki. Kwa mfano hata sasa ikitokea Chelsea wakachukua kombe, hatutahama Man U, tutabanana humu humu!
Afadhali umeweka wazi suala lako, najua utakuwa umejifunza sasa.
Karibu sana!
IDIMI,
Sio kwamba natoroka..la!
Nilikua nadhani thread ni exclusive for Man U fans only.
Kisha hongera kwao jana maana wamewapeleka Barca shule
without a doubt!
The Premier cup is up for grabs and we are waiting for
the final games...its going down to the wire!
Asanteni kwa kunikaribisha hata hivyo!
Roya Roy,
Hatukimbii aisee...tumo!
I watched the Man vs Barca game na utani kando Man U
waliwaharakisha jamaa poa kabisa.They deserved the victory.
Sasa sindimba iko Moscow....Kudos Man U!!!!
Ahsante, unajua weekend nilikuwa down kiaina baada ya kichapo cha Stamford Bridge...Mungu si Athumani watu tunakwenda Moscow.
Mkuu..acha kuniangusha, Shetani wa ''ukweli'' hawi down kirahisi hivyo ati!, ila anachukulia kama changamoto ya ku-come back kwa nguvu na ari mpya.....unajua wale wenzetu waupande wa ''pili'' ndio wanatabia hiyo, hawakawii kuingia mitini hata wakitoa droo tu!!
Much respect kwa IDIMI&ROYA wanazi wa ukweli!!