Henrikh Mkhitaryan na Michael Carrick ni wachezaji ambao wanaifanya United ibadilike recently. Dhidi ya Palace Mikhi hatakuwepo...na Carrick sidhani kama ana uwezo wa kucheza game 2 tough ndani ya siku 3 kwa kiwango kizuri. Ndio maana napata sana mashaka na hii game ya jumatanoLabda fellaini aanze