Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 4,936
- 13,276
Tatizo pale Carrington wamejazana mabitozi na masharobaro, wanakula mishahara mirefu halafu kujituma uwanjani wenyewe wanaona kama hisani sio wajibu.Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund
Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Rashidi anaweza kupoteza mpira halafu akawa anatembea tu uwanjani kama anamsindikiza bwana harusi.