Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund


Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Tatizo pale Carrington wamejazana mabitozi na masharobaro, wanakula mishahara mirefu halafu kujituma uwanjani wenyewe wanaona kama hisani sio wajibu.
Rashidi anaweza kupoteza mpira halafu akawa anatembea tu uwanjani kama anamsindikiza bwana harusi.
 
M
Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu

Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu

Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbuView attachment 2978531
Mshiko mbele kwanza halafu mpira ufuate.
Unasema kwetu ni mpira kwanza, halafu mshiko upo tu, siyo?
Utakuwa sahihi.
 
GMvQCpjWYAAgyhr.jpeg
GMvQCpbXYAAcn5E.jpeg
GMvQCpkWYAAPLZC.jpeg
GMvQCpaW0AAv_BZ.jpeg
 
Man utd tuna laana, ndio nimeamua kukaa kimya kwa sasa, siandiki tena magazeti, siumizi kichwa juu ya kocha ajaye, siumizi kichwa juu ya mipango ya INEOS.

Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.

Fragile Ego
============
1714831902122.png

Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.

Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.

Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto

Kumamakeee!!!!
 
Man utd tuna laana, ndio nimeamua kukaa kimya kwa sasa, siandiki tena magazeti, siumizi kichwa juu ya kocha ajaye, siumizi kichwa juu ya mipango ya INEOS.

Yote nayaona ni rubbish na hizi tetesi za usajili ndio zinazidi kunivunja moyo haijalishi ni uongo mwingi.

Fragile Ego
============
View attachment 2980658
Ipswich wanarudi ligi kuu baada ya miaka 22, jamaa amewatoa daraja la kwanza chini mpaka daraja la kwanza kuu kwa mwaka mmoja.

Then kwa mwaka mmoja anawarudisha ligi kuu kwa bajeti ya paundi millioni 6.

Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto

Kumamakeee!!!!
Mazoezi ya kitoto

Kwa iyo hapo kapandisha watoto wenzie
 
Newcastle washawanchukulia nafasi ya 7.

Crystal Palace atahakikisha anawapa nafasi Chelsea wawakaribie. Kuna uwezekano mkamaliza nafasi ya 8. Hiyo itapendeza sana maana itaonyesha kuwa ushindi wa papatu papatu hauwezi kupatikana msimu mzima.

Furahini mko top 10 ingawa hamkustahili.
 
kenge wamepambana hadi wamewakaribia wawapite
kumbuka ni point 3 tu inawatenganisha.sitoshaanga kenge wakacheza europa
manyuu mkabaki kutupigia kelele za fainali ya fa
 
Wachezaji wetu walisema Mckenna ana mazoezi ya kitoto
Hamna namna yeyote UTD inaweza Piga hatua na % kubwa ya Lile Kundi la Wachezaji.
Kila mahali kelele zinapigwa kwamba UTD hadi timu ndogo zinaizidia Mpira. Uhalisia ni kwamba Wachezaji wengi ni wa timu ndogo tofauti ni Sare na Jina la timu wapo ni UTD.

Kibaya kuna wachezaji wengi wa ACADEMY wenye uwezo mdogo wanapewa Hype na Media na PR zao + Tatizo kubwa zaidi linakuja SAJILI Za Uongozi.
ZLATAN, IGHALO, CR7, CAVANI, VARANE, CASE, SANCHEZ n.k Unajengaje timu na SAJILI za Aina hii + Mishahara ya Kufuru!? Hapa ndo LVG anasema UTD ni klabu ya Kibiashara na sio ya Mpira.

Timu nyingi Zinaenda Jino kwa Jino na UTD sababu zinalingana Uwezo na Kundi kubwa la Wachezaji wa UTD au hata kuwazidi. Ukianza wataja unaeza kosa mwenye nafuu.
 
Back
Top Bottom