Manager na Secretary wanahitajika haraka

Magnificient

JF-Expert Member
Aug 8, 2013
1,162
701
Tunatumai mu wazima. Tunahitaji secretary na Manager kwa ajili ya kampuni yetu moja iliyopo Temeke, Dar Es salaam. Elimu kuanzia kidato cha nne, creative, interactive na intelligent katika kumeneji watu.
Maelezo zaidi please.......
0659528724
0768932789
 
Tunatumai mu wazima. Tunahitaji secretary na Manager kwa ajili ya kampuni yetu moja iliyopo Temeke, Dar Es salaam. Elimu kuanzia kidato cha nne, creative, interactive na intelligent katika kumeneji watu.
Maelezo zaidi please.......
0659528724
0768932789

kampun gan tuelekeze vzr
 
Bahati nzuri nimesoma Company Act ya 2002 Kampuni lazima iwe na Jina siyo unatumia kampuni flani hivi mda mwingine ni Utapeli Pia lazima iwe na Physical address.
 
Back
Top Bottom