Ha,ha,ha,ha,ha,ha..teh,teh,te,te,te,kwi,kwi,kwi,kwi,kwi,..uwii baba Beibe nastry leo umenimaliza mbavu jamani dah
Mkuu judgement, mi huyu kaniacha hoi kumtaja Beibe nasty kuwa anamvunja mbavu wakati sijamuona kwenye huu uzi!Wacha mbavu! Haziumii vizuri coz ziko nyingi about 14 Ribs !
Ngoja kesho nikumalizie na Kiuno kabisa! Na kwakua kipo kimoja !
Sijui kitakuaje! Na pia hakifungiki P.o.p !
Mkuu judgement, mi huyu kaniacha hoi kumtaja Beibe nasty kuwa anamvunja mbavu wakati sijamuona kwenye huu uzi!
duuhh !
Si ungeanzia kwenye maji ya kuwasha kwanza! Kabla hujafika kwenye fire weapons !
mijitu mingine bwana, inaanzisha maadamano, wengine wanapigwa risasi wanakufa, yenyewe bado yanabaki hai tu! Mi nna ham na hao waanzisha maandamano nao wafumuliwe na risasi!!
ruttashobolwa, hiyo tabia ilikuwa kwenye boarding schools zote. Yaani mnaweza kumuona mtu anakimbia afu woote mkaanza kukimbia! Sijui ilikua ni nini! Them good old days!
Mijitu mingine bwana, inaanzisha maadamano, wengine wanapigwa risasi wanakufa, yenyewe bado yanabaki hai tu! Mi nna ham na hao waanzisha maandamano nao wafumuliwe na risasi!!
Nipo pouwa mkuu..hii title ya sredi inaaply kila mahali!peleka kul siasani mkuu rejao. Mzima lakin?
Unakusumbua nikupatie dawa?mtindio wa ubongo
mmmmmmhhhhhh au kwenye 'g' ulitaka kuweka 'k'?mie najaribu kupenyeza tango tangoni.
Usiku tukiwa bwenini tume lala, mida ya saa 8 usiku tulistushwa na kishindo mithili ya tetemeko ya ardhi ndani ya bweni baada ya kuamka tukiwa tumejawa na hofu kubwa huku umeme umekatika, baada ya kuamka uku wengine wakiwa wamesha kimbia nje wakiwa na boxer tu,tuligundua kuna mtu kaanguka kutoka juu ya deka(alikuwa best yangu) ilibidi kuanza kumuangali huku roho zikienda mbio kwa uwoga wa hali ya juu.
Baada ya kumuangalia na kuanza kumgusa tu alichomoka pale chini misili ya mshale na kukimbia nje, kazi ilikuwa kwetu tuliyo baki ndani watu kama 60 kwa hiyo tulianza kugombea mlango ambao ulikuwa mmoja huku tukikanyagana kutoka nje, cha kushangaza na pale nje wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja ikawa kurupusha huku tukiwa na boxer wote tulizani kuna mzimu.
Cha kushangaza baada ya kumhoji best huku wengine wakiwa wamevunjika mikono alisema ana tushangaa tunakimbia nini wakati yeye alikuwa ana tania!
Wote tuliishiwa nguvu na wengine wakitaka kumpiga kwa kuwa dharirisha na shule ilikuwa mchanganyiko wanaume tuko na boxer tu!
Cha kusikitisha baada ya kutaka kufukuzwa shule jamaa yangu aligundulika amechanganyikiwa na akafikia kufungwa kamba kwa hiyo hakufanya mtihani akapelekwa hospitali.
mmmmmmhhhhhh au kwenye 'g' ulitaka kuweka 'k'?