ngonzi zomukama
Senior Member
- Apr 13, 2010
- 170
- 5
duh! inabidi kabla hujampiga chini ukapime kwanza maana huenda kuna mwingine acye2mia anaye mkuna
Mimi ni mwajiriwa wa benki moja hapa jijini,
na mwenzangu pia ni benka.
Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi,
niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa.
Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye nifaa, na kwenye sakasaka zangu nikakutana na huyu kiumbe.
Tunafanana kila kitu, tabia zetu zote, ila mwenzangu ana hasira sana ambapo muda wote anakuwa amekasirika,
hata ukiongea kidogo anakuja juu sana.
Kwa umri yeye kanizidi miaka mitano,
na kuna siku tulikuwa tunacheza mchezo wa juma na roza,
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
Kila dakika ananipigia simu kuniambia kuwa ananipenda lakini hamu naye imekatika.
Namshukuru mungu nimeligundua hilo kabla hatujaingia huko kunakoitwa ndoani...
Mi napiga mtu chini na ninaendelea kutafuta mtu mwingine.
Ukisikia tangazo hili umjulishe na mwenzio kuwa natafuta wa maisha.
Mimi ni mwajiriwa wa benki moja hapa jijini,
na mwenzangu pia ni benka.
Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi,
niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa.
Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye nifaa, na kwenye sakasaka zangu nikakutana na huyu kiumbe.
Tunafanana kila kitu, tabia zetu zote, ila mwenzangu ana hasira sana ambapo muda wote anakuwa amekasirika,
hata ukiongea kidogo anakuja juu sana.
Kwa umri yeye kanizidi miaka mitano,
na kuna siku tulikuwa tunacheza mchezo wa juma na roza,
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
Kila dakika ananipigia simu kuniambia kuwa ananipenda lakini hamu naye imekatika.
Namshukuru mungu nimeligundua hilo kabla hatujaingia huko kunakoitwa ndoani...
Mi napiga mtu chini na ninaendelea kutafuta mtu mwingine.
Ukisikia tangazo hili umjulishe na mwenzio kuwa natafuta wa maisha.
Mimi ni mwajiriwa wa benki moja hapa jijini,
na mwenzangu pia ni benka.
Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi,
niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa.
Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye nifaa, na kwenye sakasaka zangu nikakutana na huyu kiumbe.
Tunafanana kila kitu, tabia zetu zote, ila mwenzangu ana hasira sana ambapo muda wote anakuwa amekasirika,
hata ukiongea kidogo anakuja juu sana.
Kwa umri yeye kanizidi miaka mitano,
na kuna siku tulikuwa tunacheza mchezo wa juma na roza,
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
Kila dakika ananipigia simu kuniambia kuwa ananipenda lakini hamu naye imekatika.
Namshukuru mungu nimeligundua hilo kabla hatujaingia huko kunakoitwa ndoani...
Mi napiga mtu chini na ninaendelea kutafuta mtu mwingine.
Ukisikia tangazo hili umjulishe na mwenzio kuwa natafuta wa maisha.
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
.
Mimi ni mwajiriwa wa benki moja hapa jijini,
na mwenzangu pia ni benka.
Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi,
niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa.
Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye nifaa, na kwenye sakasaka zangu nikakutana na huyu kiumbe.
Tunafanana kila kitu, tabia zetu zote, ila mwenzangu ana hasira sana ambapo muda wote anakuwa amekasirika,
hata ukiongea kidogo anakuja juu sana.
Kwa umri yeye kanizidi miaka mitano,
na kuna siku tulikuwa tunacheza mchezo wa juma na roza,
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
Kila dakika ananipigia simu kuniambia kuwa ananipenda lakini hamu naye imekatika.
Namshukuru mungu nimeligundua hilo kabla hatujaingia huko kunakoitwa ndoani...
Mi napiga mtu chini na ninaendelea kutafuta mtu mwingine.
Ukisikia tangazo hili umjulishe na mwenzio kuwa natafuta wa maisha.
...Huo msamiati nimeupenda sana. Sijui ni zile lugha za kule nyanda za juu nini??Unatafuta mwingine wa kumfyeketua[/SIZE] tena bila kinga?!!!!
Una balaa wewe!!
pole sana mpwa,
nae alikuwa kanisani kwenye misa ya asubuhi!!!!!!( walahi!!)
na wewe mpwa bana ukoje yaani kuona gugumaji tayari unalishika bila gloves?!!
Endelea kusaka, kama wa kanisani umemkuta yuko hivi jaribu baa utakuta bikra
LABDA NI KIMASAI
Re: Mamsap ananitia mashaka.
2,HATA SIKU MOJA USIMMEGE MTU PEKUPEKU HATA KAMA MTU HUYO NI SISTER WA KANISANI,UTAKUFA,......UCHUMBA SI NDOA ATI.....
alikukomesha, alikulinganisha vizuri sana, hapo ndo mtakoma kuwa malaya na kufanya uzinzi bila kuoa. alikulinganisha na wazinzi wenzio ambao hatumii condom, wewe tu ndo anatumia kondom, kumbe anao wengi, yaani wewe ni mmojawao tu, pole sana kwa kula makapi, na bado.
Hao mbona ckuhizi ndo kwishnei kabisa, bora mwambie aweke mbegu yake, na akizaliwa amfungie kwenye handaki kama Saddam mpaka awive kwa hiyo shughuli maana cku hizi vitoto vya darasa la nne au tano tayari vimeshaanza mchezo wa baba na mama.ME naona yuko fair amejitahidi kuw amuwazi....je ulifikiri mwanamke ambaye amekuzidi 5 years tena ni mfanyakazi atakuwa bikra au?? Kimsingi ni lazima awe amepita na watu........hebu fikiria akiwa ameanza latest labda a-level, chuo 1st yr, 2n yr....kipindi amemaliza hana kazi....kazini mwak wa kwanza..akahamia mtaa mwingine..ni logical kabisa....huitaji rocket science kugundua hili....mi naona anakufaa sana labda hilo la hacira tu ndio la kurekebisha....
Kama unataka sealed inabidi uende form2 ambako cjui utafungwa kwa kumkatisha masomo....