Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Mimi ni mwajiriwa wa benki moja hapa jijini,
na mwenzangu pia ni benka.
Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi,
niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa.
Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye nifaa, na kwenye sakasaka zangu nikakutana na huyu kiumbe.
Tunafanana kila kitu, tabia zetu zote, ila mwenzangu ana hasira sana ambapo muda wote anakuwa amekasirika,
hata ukiongea kidogo anakuja juu sana.
Kwa umri yeye kanizidi miaka mitano,
na kuna siku tulikuwa tunacheza mchezo wa juma na roza,
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
Kila dakika ananipigia simu kuniambia kuwa ananipenda lakini hamu naye imekatika.
Namshukuru mungu nimeligundua hilo kabla hatujaingia huko kunakoitwa ndoani...
Mi napiga mtu chini na ninaendelea kutafuta mtu mwingine.
Ukisikia tangazo hili umjulishe na mwenzio kuwa natafuta wa maisha.
na mwenzangu pia ni benka.
Tulikutana kanisani kwenye ibada za asubuhi,
niko busy nikisakasaka mrembo wa kumuoa.
Mungu nilimuomba anipe bibie atakaye nifaa, na kwenye sakasaka zangu nikakutana na huyu kiumbe.
Tunafanana kila kitu, tabia zetu zote, ila mwenzangu ana hasira sana ambapo muda wote anakuwa amekasirika,
hata ukiongea kidogo anakuja juu sana.
Kwa umri yeye kanizidi miaka mitano,
na kuna siku tulikuwa tunacheza mchezo wa juma na roza,
akasema ninamduu vizuri sana ndio maana ni mimi tu ninayemfyeketua bila kinga.
Nikaogopa sana, yaani kiasi kwamba namuona kama ukoma.
Kila dakika ananipigia simu kuniambia kuwa ananipenda lakini hamu naye imekatika.
Namshukuru mungu nimeligundua hilo kabla hatujaingia huko kunakoitwa ndoani...
Mi napiga mtu chini na ninaendelea kutafuta mtu mwingine.
Ukisikia tangazo hili umjulishe na mwenzio kuwa natafuta wa maisha.