Leo kigoma wanachama wa vyama vya upinzani zaidi ya 800 warudisha kadi Kwa Magufuli za vyama vyao lakini kubwa zaidi ni pale ambapo wamekabizi hadi magwanda "Nguo za vyama vyao" Kwa Magufuli japo sale hizo walinunua wao na Kwa Fedha zao,. Sasa sijui tuseme je! Magufuli ataenda kuyatia moto hayo magwanda au atayafanyaje?.
Leo kigoma wanachama wa vyama vya upinzani zaidi ya 800 warudisha kadi Kwa Magufuli za vyama vyao lakini kubwa zaidi ni pale ambapo wamekabizi hadi magwanda "Nguo za vyama vyao" Kwa Magufuli japo sale hizo walinunua wao na Kwa Fedha zao,. Sasa sijui tuseme je! Magufuli ataenda kuyatia moto hayo magwanda au atayafanyaje?.