Jibu unalo.Kwa kifupi utawala huuu unataka kutengeneza kizazi cha watu waoga wasioweza kuhoji chochote! Sasa najiuliza hii ni kwa faida ya nani ?
Jibu unalo.Kwa kifupi utawala huuu unataka kutengeneza kizazi cha watu waoga wasioweza kuhoji chochote! Sasa najiuliza hii ni kwa faida ya nani ?
Nilidhani ataitwa shujaa wa kufochua maovu kumbe mzushiUzushi upi sasa kwani jengo ndio lilijengwa vile???Nyie police hao CCM wanawadanganya sana
Umenena. Mbona hawakamati jicho la mwewe?Ndio tumefikia hapa, yani mtu haruhusiwi kuongelea madhaifu ya sehemu husika na kuonesha hatari inayoweza kutokea huko mbele? Mtu kabisa ndani ya nchi yake?
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar Lazaro Mambosasa amesema walimkamata mwanafunzi Kumbusho Dawson baada ya kusambaza uzushi kwenye mtandao,
Kamanda ameelezea kama mwanafunzi huyo angekuwa na taarifa yoyote basi angeipeleka kwa mkandarsi wa majengo au mmiliki wa majengo hayo
Mtu aliyekuwa alalamike ni mmiliki wa majengo hayo na sio yeye
Pia amesema ameshangaa watu kulalamika na kupokea usumbufu mkubwa kwa jambo hilo wakati kuna maghorofa makubwa hapa Dar yalishaanguka na kuumiza watu lakini hakuna watu hawakuonyesha kuvutika kama ilivyokuwa kwa jambo hili
Polisi hawana ujuzi wa ujenzi kwa hiyo wameamini kwamba jengo lile limejengwa kisasa linaweza kupasuka na kujiziba kama alivyosema engineer wa TBAUzushi upi sasa kwani jengo ndio lilijengwa vile???Nyie police hao CCM wanawadanganya sana
Mkuu mi nadhani hata hao waandishi wanaitwaga kwenye press conference za hivi TUWACHeNJIE, ina maana wao huwa hawa ulizi hata maswali kutoa utata wataarifa wanazokusanya.....Hivi mtu mzima na akili timamu, mwenye watoto pengine na wajukuu.. unasimama mbele ya kamera za Waandishi wa habari kutetea upuuzi kama huu...!!
Ni kitu gani kimewakumba watu hawa... Inasemwa siku zote mtu mwenye taarifa za ujambazi azitoe iwe police au public... Kijana huyo kutumia hadhira kufikisha taarifa ambazo yamkini watu wa kwanza kudhulika endapo maafa yangetokea ni wao wanafunzi.... we unataka mwenye nyumba alalamike..na mwenye nyumba hakai hapo..!! Epushia mbali ukweli kwamba yeye tayari anamaslahi na jengo hilo ambapo haiwezekani akatoa taarifa mbaya zirakazosababisha kukimbiwa na wapangaji..!!
Ukweli mdogo kama huu ni kweli Mambosasa sasa anashindwa kuuona? Jamani cheo cha Kamishina mbona ni kikubwa kuliko huu utetezi wa Mambosasa... Nini kimewakumba police???
BACK TANGANYIKA
Ni kweli ameishatengeneza kizazi cha waoga hasa ndani ya ccm ni serikali yake kwani hakuna na namaanisha hakuna hata mmoja ndani ya chama na serikalini anayehoji chochote zaidi ya kupiga makofi na kutabasamu.Kwa kifupi utawala huuu unataka kutengeneza kizazi cha watu waoga wasioweza kuhoji chochote! Sasa najiuliza hii ni kwa faida ya nani ?
mhUzushi wakati TBA wamekubali ni joints expansion tu uzushi gani sasa
Polisi hawana ujuzi wa ujenzi kwa hiyo wameamini kwamba jengo lile limejengwa kisasa linaweza kupasuka na kujiziba kama alivyosema engineer wa TBA
Naona umeelewa kama polisi.Hakuna ujenzi wa kisasa unaoruhusu nyufa wewe! Acha kuandika uongo.
Kamanda wa polisi mkoa wa Dar Lazaro Mambosasa amesema walimkamata mwanafunzi Kumbusho Dawson baada ya kusambaza uzushi kwenye mtandao,
Kamanda ameelezea kama mwanafunzi huyo angekuwa na taarifa yoyote basi angeipeleka kwa mkandarsi wa majengo au mmiliki wa majengo hayo
Mtu aliyekuwa alalamike ni mmiliki wa majengo hayo na sio yeye
Pia amesema ameshangaa watu kulalamika na kupokea usumbufu mkubwa kwa jambo hilo wakati kuna maghorofa makubwa hapa Dar yalishaanguka na kuumiza watu lakini hakuna watu hawakuonyesha kuvutika kama ilivyokuwa kwa jambo hili