Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,204
- 885
Mambo yanayohusu mapenzi huwa yanaumiza sana pengine kuzidi kitu kingine.
Nifanyeje ili nisije umia hata nikivunjwa moyo na nitakayempenda?
Nifanyeje ili nisimpende mwanamke hata kama nitakuwa nae kwenye uhusiano?
Nifanyeje ili nisipende tena?🤔
Nifanyeje
Nifanyeje ili nisije umia hata nikivunjwa moyo na nitakayempenda?
Nifanyeje ili nisimpende mwanamke hata kama nitakuwa nae kwenye uhusiano?
Nifanyeje ili nisipende tena?🤔
Nifanyeje