All Rights remain to Alex Marwa's Photos (Faceboook.com)
Mambo ya Wachaga kubana matumizi : dereva, bi harusi, bwana harusi na best man ( pic courtesy of Imma Mbuguni)
Hapa si pa kusema kitu bana...wako wengi hao, kama jeshi la manyigu!
Lakini ninachojiuliza, MSIMAMIZI wa bi harusi yuko wapi, na yeye atasafirije kuwatafuta wenzie?
Sasa inatosha.
Mnatuonea sana jamani
Jamani jamani jamani........
Teh teh, so ubunifu unainclude mpaka shughuli kushuhudiwa na shahidi m1 , yaani wa kiumeni tu, huh!!
Hapa si pa kusema kitu bana...wako wengi hao, kama jeshi la manyigu!
Lakini ninachojiuliza, MSIMAMIZI wa bi harusi yuko wapi, na yeye atasafirije kuwatafuta wenzie?
Sio swala la kubana matumizi... hatupendi mashikolo mageni yenu... ambayo kwa kiasi flani hayana umuhimu... na hasa kutokana na utashi wa mtu... in fact nimependa kwani mtu anajikuna anapofikia... yanini ufanye harusi ya milioni 10 wakati ikiisha unakwenda kukaaa kwenye chumba cha elfu 30 kwa mwezi...
Anatembea kwa mguu ....kina nanihii hawa ndo maana wengine wanakula ugali na picha ya samaki..hiyo milima ya upareni kabisa
Hapa mi sisemi kitu............. :-?
Msema kweli mpenzi wa mungu.....