101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
FACT KUHUSU ZEBRA
1. Punguza mwendo unapoikaribia zebra ili angalau uwe katika mwendo wa uwezekano wa kusimama ikiwa kuna mtu atakuwa anavuka barabara au kutaka kuvuka barabara. Kisayansi mwendo unaokuwezesha kusimama kiurahisi ni 50kph (approach speed)
2. Angaza kulia na kushoto kuona kama kuna watu wanaosubiri kuvuka au wanavuka;
3. Iwapo kuna mtu anasubiri kuvuka (is about to use) au anavuka (or is using a pedestrian crossing) kwenye zebra, SIMAMA KUMPISHA AVUKE. [Maana yake ni kwamba ni lazima wewe usimame kwanza ili yeye avuke au aanze kuvuka. Am,a kama utamkuta katikati au anamalizia kuvuka acha amalize kuvuka][kif.65(10)RTA 1973.
4. Usimpigie honi au resi dereva aliyesimama kupisha watu kuvuka kwenye kivuko (zebra)
5. Usimpite (ovateki) dereva aliyesimama kupisha watu kuvuka kwenye kivuko.
6. Muashirie dereva mwenzio kusimama, iwapo unahisi amekupuuza anataka kukuovateki ukiwa umepisha waenda kwa miguu;
8. Usimpigie honi au resi mwenda kwa miguu anayevuka ili aharakishe kuvuka
9. Iwapo kivuko kinaongozwa na taa, na taa ya Kijani imeshawaka kukuruhusu ilhali bado mwenda kwa miguu hajamaliza kuvuka, usiondoe gari hadi mwenda kwa miguu amalize kuvuka.
1. Punguza mwendo unapoikaribia zebra ili angalau uwe katika mwendo wa uwezekano wa kusimama ikiwa kuna mtu atakuwa anavuka barabara au kutaka kuvuka barabara. Kisayansi mwendo unaokuwezesha kusimama kiurahisi ni 50kph (approach speed)
2. Angaza kulia na kushoto kuona kama kuna watu wanaosubiri kuvuka au wanavuka;
3. Iwapo kuna mtu anasubiri kuvuka (is about to use) au anavuka (or is using a pedestrian crossing) kwenye zebra, SIMAMA KUMPISHA AVUKE. [Maana yake ni kwamba ni lazima wewe usimame kwanza ili yeye avuke au aanze kuvuka. Am,a kama utamkuta katikati au anamalizia kuvuka acha amalize kuvuka][kif.65(10)RTA 1973.
4. Usimpigie honi au resi dereva aliyesimama kupisha watu kuvuka kwenye kivuko (zebra)
5. Usimpite (ovateki) dereva aliyesimama kupisha watu kuvuka kwenye kivuko.
6. Muashirie dereva mwenzio kusimama, iwapo unahisi amekupuuza anataka kukuovateki ukiwa umepisha waenda kwa miguu;
8. Usimpigie honi au resi mwenda kwa miguu anayevuka ili aharakishe kuvuka
9. Iwapo kivuko kinaongozwa na taa, na taa ya Kijani imeshawaka kukuruhusu ilhali bado mwenda kwa miguu hajamaliza kuvuka, usiondoe gari hadi mwenda kwa miguu amalize kuvuka.