Kilichotokea hapo ni watu aliamua kufanya jokes... wote tunajua kuwa unapogoogle then ukawa ume mispselling google itakuwa suggestion ya karibu au inayofanana na uliyokusudia... sasa kilichotokea hapo jamaa alimistype.. kwa mfano "bllck people stole my car" then ndio akaletewa hiyo suggestion na baada ya hapo akarudia kuandika vizuri na kisha aka screenshoot hicho kipande na kukirusha kwa wengine...
so sio kweli kama ukiandika "black people stole my car itakuja "white people stole my car" kuna mvuta bangi mmoja kaamu kucheza na akili za watu... kwa ushahidi zaidi kafanye wewe au hiyi clip ukiplay utaona hakuna chochote kinachofanyika zaidi ya kusikia mtu anaongea tu..
Simply to make fool of others... so guyz before found u r aught... jst do a lill research
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.