Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
labda anaichaji umeme si wa shida?
Ni sehemu ya nyuma ya mwanadamu inayotumika kukalia na ndani yake kidogo kuna tundu linalotumika kutoa waste material katika mwili wa binadamu.Naomba kuelimishwa, hivi hii term Masaburi maana yake ni nini? Ni msamiati mpya? Kuuliza siyo ujinga.
...Neno jipya limetoholewa kama kawaida yetu waswahili...linamaanisha ******. Karibu tenaNaomba kuelimishwa, hivi hii term Masaburi maana yake ni nini? Ni msamiati mpya? Kuuliza siyo ujinga.