Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    24.1 KB · Views: 610
Zero Brain umenikumbusha mitaa ya Posta Mpya enzi hizo mabrotherman walikuwa wanawategea masisterdu,kundi hili lilikuwa hatari kwa kung'oa warembo.
 
7.Nyumbu kwa jina lingine
anaitwa "Zero Brain". Hii inatokana na
tabia yake ya usahaulifu. Kwa mfano: Nyumbu anaweza kuwa anafukuzwa
na Simba, akikuta majani mazuri
anajisahau kuwa anafukuzwa
anasimama na kuanza kula majani.
y

Mi nilijua mwenye hizo beats ni huyu mjomba hapa.........
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    11.7 KB · Views: 589
Hyo ya kuwa na akili kama ya kitanzania kwenye baadhi ya mambo,mengine nyumbu amewazidi ila mm cmo humo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wanapovuka mto mmoja hutangulia na wengine hufuata nyuma lakini hukanyagana sana na hii hupelekea wengi kufa na kusombwa na maji.
 
Pia ni mnyama pekee ambaye mtoto wake hupata uwezo wa kukimbia baada ya dk 7.
 
Akifukuzwa anasahau kama alifukuzwa jana au leo sasa anaweza kurudi uelekeo wa adui na speed kali yule adui inabidi ampishe sababu anajua jamaa kaamua kupambana.
 
umbile la
Nyumbu (Wild Beast). Nyumbu ana
maumbile ya wanyama kadhaa.
1. Miguu
ya nyuma na kiuno ni umbile la Fisi;
2. mkia ni umbile la Farasi;
3. michirizi ya
Pundamilia;
4. pembe ni za Nyati;
5.ndevu
ni za Pofu;
6. nywele za mgongoni ni za
pundamilia.
7.Nyumbu kwa jina lingine
anaitwa "Zero Brain". Hii inatokana na
tabia yake ya usahaulifu. Kwa mfano: Nyumbu anaweza kuwa anafukuzwa
na Simba, akikuta majani mazuri
anajisahau kuwa anafukuzwa
anasimama na kuanza kula majani.
Very amazing story

Source please
 
Akifukuzwa anasahau kama alifukuzwa jana au leo sasa anaweza kurudi uelekeo wa adui na speed kali yule adui inabidi ampishe sababu anajua jamaa kaamua kupambana.

Kwa maana hiyo tunaweza kuwa tunamtafsiri vibaya kwa ni msahaulifu kumbe kweli karudi katika mapambano and thats all nyumbu can do kujilinda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom