Mambo muhimu ktk hotuba ya mabadikiko ya baraza la mawaziri by JK

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Wote watakao husika baada ya mawaziri kuondoka na wachini yake pia wataondoka

Wasira, lukuvi, nagu, ghasia, sita, nahodha, magufuli, mwinyi, kawambwa, sofia simba, membe, chikawe, nchimbi, mathayo, kabaka, mbalawa, tibaijuka, chiza, maghembe, mwakyembe, mukangara, kagasheki, kigoda, mkimwa, mwandosya,

manaibu

Kitonga, majaliwa, mwanli, Mahanga, malima, silima, mtemu, luenge, maalim, medeye, mulugo, juna abdula, nyarandu, seif rashid, chawene, saada, makamba, tizebha, makala, pelisi, masele, kahiuluku, jabeth

Mie naona wale wale walio wengi
 
kwani ubaya uko wapi km walio wengi ni wa zamani...hoja ni kuwaondoa waliotajwa kwenye taarifa ya CAG basi na sio vinginevyo
 
Waziri asiyekuwa na wizara maalumu maana yake ni nini? Hii wizara inakuwa na watendaji wengine kama wakurugenzi, katibu mkuu na wengine kama hao? Je inakuwa na jengo la wizara? Na je plate namba ya gari lake inakuwaje?
 
Back
Top Bottom