'MIMI NANG'ATUKA ILA WOSIA NNAOWAACHIA NI KUWA BILA CCM IMARA TZ ITAYUMBA'dat kind of a speech was given by Mwalimu JK Nyerere,jamaa wameshtuka leo kuwa bila CCM imara maneno ya Mzee Nyerere yatatimia dat y wameamua kumwagana.well done JAkaya katika hili.
Holly Crap.
Hakuna kujivua gamba bali hapo ni kupaka rangi gamba. Hao watu mnaosema kuwa mmewasafisha bado wako ndani ya chama. Walitakiwa kuvuliwa madaraka, uanachama na kufikishwa mahakamani kwa kusababishia Taifa hasara.
Hilo game CCM inalocheza linaitwa MDAKO 2.0, unaondoa vi-mawe kwenye kijishimo halafu unavirudisha tena kwenye kijishimo kwa staili tofauti ya vidole. Huwezi kutuambia kuwa umesafisha chama wakati unamrudisha Zakia Meghi (Mama Mkwe), Kinana ambaye naye ana gamba lake analotakiwa kulivua, Lowassa bado anashikilia Kamati nzito ya Bunge, fisadiz wengine bado ni wabunge na wanachama wa CCM. Na visadi mkuu bado anawatambia kuwa vita ndo imeanza. Kazi kwenu.
CCM wameshindwa kujitakasa, wasubiri Tsunami ya ndani kwa ndani.
Tanzania inazaliwa upya Thanks Jakaya
Tanzania inazaliwa upya Thanks Jakaya
CDM kanyaga twende mpaka kieleweke. Watagombana hadi wabadilishe hata mavazi ya kijani na kuvaa ya kahawia.
</p>Tanzania inazaliwa upya Thanks Jakaya
Tanzania inazaliwa upya Thanks Jakaya