Chama chako bado kichafu kinanuka,madon wa ufisadi bado wapo,kilichofanyika ni kupaka nyumba rangi nje ilihali ndani ni chafu na kuta zimejaa tando za buibui na makorokoro mengineWanajf
Baada ya kufanya kazi kubwa ya kukisafisha Chama sasa hivi kinaanza kumeremeta
Nakumbushia mkoa wa DAR es salaam kuandaa maandamano makubwa ya kumpokea na kumpongeza
Hata wanaJF wenye mapenzi mema na JK na MUkama kuwapa nguvu maana TANzania inazaliwa upya
Hawa walikuwa wanawapigania mafisadi wao wanaowapa hela ili wawaseme vizuri mbele ya vyombo vya habariHivi hao vijana waliokuwa wanapigana vikumbo kutoa matamko machafu dhidi ya chadema hata mmoja mungu hakumuona kwenye hii biashara na magamba feki?
NEC nayo leo imeahirishwa hadi kesho na JK anayo ajenda nzito mwenyewe japo Msekwa ndiye anao utangulizi.
Maelezo ya kwanza yalihusiana na CC naomba nisiwachanganye kwa title ya thread
Hawa walikuwa wanawapigania mafisadi wao wanaowapa hela ili wawaseme vizuri mbele ya vyombo vya habari
Jamani nyoka ni nyoka tu na sifa ya nyoka ni sumu yake, kwa kule kujivua gamba nyoka anakuwa na kasi zaidi na kama ni koboko basi anaweza kudhuru wengi na hofu yangu kwa CCM kwa kuwa mwenyekiti ni yule yule sitegemei jipya zaidi ya kuongezeka kwa kasi ya ufisadi.
Naona wewe unamatatizo ya akili, ameuliza Nape na harakati za CCM kujivua gamba sasa wewe unazungumza CHADEMA....Tusome post vizuri kabla ya kuandikaKwani cdm nani ana mvuto kuzidi nape?
Huyu Nape UVCCM walimsema sana sasa hivi sijui watasema ninikwa hiyo wamelamba garasa siyo? Nguvu zote zile hadi mapovu yalikuwa yanawatoka na kukusea baba zao heshima. I love politics
Yaani bado unahangahika na huyoNaona wewe unamatatizo ya akili, ameuliza Nape na harakati za CCM kujivua gamba sasa wewe unazungumza CHADEMA....Tusome post vizuri kabla ya kuandika
Hapo umsesma Kiloni, Makamba yawezekana ni hopeless lakini usisahau wameshughulikia mapaka sasa the 'official leadership' lakini siyo yenye shida, yenye shida ni defactor leadership - hiyo haijaguswa na huenda haitaguswa. Mara nyingi CCM wameshakaribia sana kuigusa ile 'point of pain' lakini ghafla kigugumizi huwapata na wakaamua kuingia mitini kila mtu na lwake.
Hapo kwenye red mkuu umemaliza yooote...hii inayoendelea ni sinema tu kama ile ya mmiliki wa Dowans!!!watakapo gusa hapo kwenye red kila mwenye akili timamu atatambua na si kabla ya hapo.
Agree, lakini ataweza kuongoza majeruhi wengi namna hiyo? na How strong he is to handle kundi la RA au EL plus Makamba?
hili ndio gamba gumu kuliondoa,halihitaji mwamba bali linataka kisu kikali cha kuliondoa,bila kuliondoa gamba hili sina uhakika kama ccm itarudisha mvuto!