Mambo manne muhimu yatakayo ifuta CCM katiika ramani ya siasa nchini

MZIMU

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
4,057
1,371
1. Mahakama ya Kadhi:-

Waislamu walio wengi hawaoni sababu ya kupinga kuwepo kwa Mahakama hii ambayo itawahukumu waislamu na wale watakao penda kupeleka matatizo katika Mahakama hizo. Nchi ya Kenya, Uganda, Afrika ya kusini, Uingereza na nchi nyingi duniani zinazitambua Mahakama hizo kwa mujibu wa Katiba zao. Lengo ni kuzipa Mahakama hizo nguvu za kisheria katika maamuzi yake. Chakushangaza wanao pinga sio Waislamu.

Taarifa zilizo tufikia leo hii ni kwamba, Wabunge wote Waislamu wamejipanga kutoka ndani ya Bunge hilo mara, Bunge hilo litakapo tupilia mbali Hoja hiyo.


2. Serekali Mbili :-

Serekali mbili ni kiini macho kwani Tanzania ni Muungano wa Tanganiyika na Zanzibar. Vipi leo kuwe na Serekali ya Zanzibar na Ya muungano na kusiwe na Serekali ya Tanganyika???.

3. Nchi ya Tanganyika:-

Vijana wengi wanasumbuliwa na Jinamizi la Historia. Hivyo wangependa kujitambulisha kama Watanganyika.

4. Uraia Pacha:- ( HII HOJA NIMEIFUTA, NIMEKUBALINA NA WAHESHIMIWA WAJUMBE BUNGE MAALUM LA KATIBA, hasa Mheshishimwa Riziki Lulida na Mheshimiwa Ezekiah Ulouch. Siungi Mkono tena Uraia Pacha).

Hoja hii nimeifuta. Uraia pacha hautakua na Maslahi na nchi yetu. NO! to Dual Citizenship

CC. Wananchi wote
CC. Wana JF wote,
CC. Invisible,
CC. Wote walio nukuu post kabla sija ihakiki.
CC. Bolibo - kwa marekebisho

 
Mahakama ya Kadhi imezikwa rasmi jana chini ya kamati ya Samia Suluhu, lakini leo nawaona waislamu bado wamo katika BMK!
 
Mahakama ya Kadhi imezikwa rasmi jana chini ya kamati ya Samia Suluhu, lakini leo nawaona waislamu bado wamo katika BMK!

Wanasubiri kujadili kwanza. Usiwe na haraka. Ni baada ya Maamuzi kufanyika. Hilo ni jambo moja tu, vipi hayo Mengine Matatu, vipi Maoni yako?.
 
1. Mahakama ya Kadhi:-

Waislamu walio wengi hawaoni sababu ya kupinga kuwepo kwa Mahakama hii ambayo itawahukumu waislamu na wale watakao penda kupeleka matatizo katika Mahakama hizo. Nchi ya Kenya, Uganda, Afrika ya kusini, Uingereza na nchi nyingi duniani zinazitambua Mahakama hizo kwa mujibu wa Katiba zao. Lengo ni kuzipa Mahakama hizo nguvu za kisheria katika maamuzi yake. Chakushangaza wanao pinga sio Waislamu.

Taarifa zilizo tufikia leo hii ni kwamba, Wabunge wote Waislamu wamejipanga kutoka ndani ya Bunge hilo mara, Bunge hilo litakapo tupilia mbali Hoja hiyo.


2. Serekali Mbili :-

Serekali mbili ni kiini macho kwani Tanzania ni Muungano wa Tanganiyika na Zanzibar. Vipi leo kuwe na Serekali ya Zanzibar na Ya muungano na kusiwe na Serekali ya Tanganyika???.

3. Nchi ya Tanganyika:-

Vijana wengi wanasumbuliwa na Jinamizi la Historia. Hivyo wangependa kujitambulisha kama Watanganyika.

4. Uraia Pacha:-

Vijana wengi wangependa kua raia wa nchi angalau moja wanayo ipenda lakini bila kupoteza uraia wa Nchi yao ya Ahadi. Lengo ni kuleta maendeleo ya haraka katika nchi yao ya ahadi kwani sio wote wanaweza kwenda ughaibuni.
- Katiba itamke, ni haki ya kila raia wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuwa na Passport ya kusafiria.


Narejea kutika kifungu namba moja: MAHAKAMA YA KADHI, hivi mbona hamuelewi nyie watu mmesha ambiwa hi katiba sio ya dini, hi katiba niya nchi nasi ya waislamu, kwamana hiyo basi kama hao wajumbe watatoka nje tutawashanga! na tutajuwa wazi kwamba kumbe lengo lao kuu ilikuwa nikupeleka sheria za kiislamu ziingie kwenye katiba ya nchi, kituambacho sicho nani kinyume kabisa. Sheria za dini zibaki kwenye katiba ya dini husika nasi kuchanganya mambo.
 
mahakama zilizopo bila ya kuwepo mahakama ya kadhi haziwezi kutatua mambo ya kiislamu .Katika Usialamu kuna sheria za ndoa na mirathi hizi ni baadhi tu ,WaTz tusiachwe kwenye ubishi usio na maana mbona hata mabenki makuu hapa Duniani yamechomekea sheria za kiislamu katika huduma za mabenki na kubwa la ajabu wale wasio kuwa waislamu nao wameona ufaida wa kufungua akaunti kupitia Islamic Account na kuachana nazile za kiriba ,msiwe mnapiga makelele wakati hamuelewi kitu kwa undani ,hivi ukuwepo wa mahakama ya kadhi ndio kuwepo na sheria za Kiislamu ,Naona mnafananisha fenesi na nanasi,
 
mahakama zilizopo bila ya kuwepo mahakama ya kadhi haziwezi kutatua mambo ya kiislamu .Katika Usialamu kuna sheria za ndoa na mirathi hizi ni baadhi tu ,WaTz tusiachwe kwenye ubishi usio na maana mbona hata mabenki makuu hapa Duniani yamechomekea sheria za kiislamu katika huduma za mabenki na kubwa la ajabu wale wasio kuwa waislamu nao wameona ufaida wa kufungua akaunti kupitia Islamic Account na kuachana nazile za kiriba ,msiwe mnapiga makelele wakati hamuelewi kitu kwa undani ,hivi ukuwepo wa mahakama ya kadhi ndio kuwepo na sheria za Kiislamu ,Naona mnafananisha fenesi na nanasi,

Maaskofu na Mapdre wamejiingiza kwenye ubishi waajabu sana juu ya jambo hili. Hata sijui lengo lao ni nini! Na dhani wakati umefika kwa Viongozi wa Waislamu hasa wabunge, Mawaziri na wajumbe maalum la katiba kukataa Uhuni huu unaofanywa na Viongozi wenzao Wakristo wanaopokea maagizo kutoka kwa Viongozi wao wa Dini.

Itakua ni dhima kubwa kwa Waislamu wote walioko katika bunge la katiba kukaa katika Bunge ambalo hakika lina wacheza shere na kuwang'ong'a katika maamuzi yake. Kama nchi ambazo zina waislamu wachache kama vile Kenya, Uganda, Afrika Kusini na Uingereza wanatambua Mahakama za Kadhi kwa mujibu wa wakatiba zao, vipi leo Tanzania yenye Waislamu Wengi washikiwe akili na Wakristo walio wachache ambao historia inaonyesha hata Ushiriki wao katika Kudai Uhuru ulikua mdogo sana hasa ukizingatia kwao wao wazungu ilikua nembo ya Dini yao.
 
Hofu ya makafiri kwenye hiyo mahakama wanahisi itawahukumu mpaka wao wasio waislam,inahitajika wakapewa elimu kwanza juu ya mahakama ya kadhi.
 
Hofu ya makafiri kwenye hiyo mahakama wanahisi itawahukumu mpaka wao wasio waislam,inahitajika wakapewa elimu kwanza juu ya mahakama ya kadhi.

Kuna uposhwaji mkubwa unaofanywa na viongozi wa Makanisa kwa wafuasi wao ambao Wanadhamana katika nchi. Sio jambo la ajabu kumuona kiongozi Muumini wa dini ya kikristo kuonyesha Kupinga maslahi ya waislamu hadharani.

Nauliza nijambo gani lenye Maslahi ya Kikiristo liliwahi kupingwa na viongozi waislamu au hata tu waislamu mtaani???
 
Kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Serekali ya Zanzibar Mheshimiwa Othmani Masoud Othman kuiuzulu kuandealea kuwa Mjumbe wa Bunge maalum la katiba na kurudi Nyumbani, ni uamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Kila Muislamu aneendela kukaa na kujadili Katiba inayo buruzwa na CCM katika Misingi ya Ujanja wa Mfumo Kristo, basi ajue kua Mungu wake sasa ni CCM. Akhera yake ameiweka rehani kwa chips kuku na juice.

Maana hakuna jipya katika maisha ya Binadamu.
 
Kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Serekali ya Zanzibar Mheshimiwa Othmani Masoud Othman kuiuzulu kuandealea kuwa Mjumbe wa Bunge maalum la katiba na kurudi Nyumbani, ni uamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Kila Muislamu aneendela kukaa na kujadili Katiba inayo buruzwa na CCM katika Misingi ya Ujanja wa Mfumo Kristo, basi ajue kua Mungu wake sasa ni CCM. Akhera yake ameiweka rehani kwa chips kuku na juice.

Maana hakuna jipya katika maisha ya Binadamu.

Ulianza vizuri sana mada yako ila mwishoni nimekudharau kabisa ulipoingiza udini.
 
Ulianza vizuri sana mada yako ila mwishoni nimekudharau kabisa ulipoingiza udini.

Hivi lini nyinyi mtaacha hizi nyimbo zenu za kijuha. Au mnafikiri sisi ni Waislamu wa wakati wa Nyerere?. Mliimba sana nyimbo ya ''msichanganye dini na siasa". Matokea yake bunge limejaa Maaskofu, mapadre na wachungaji. Hivi umeshasikia sheikh yoyote pale bungeni?.

Nyinyi sio tu kwamba ni Makafiri, bali ni wanafiki pia. Mnaimba Taarabu halafu mnacheza blues! Not this time. Not any more!

attachment.php
 

Attachments

  • 008-100620-ProShariaLaw-MG-1701.jpg
    008-100620-ProShariaLaw-MG-1701.jpg
    38.2 KB · Views: 710
Maaskofu na Mapdre wamejiingiza kwenye ubishi waajabu sana juu ya jambo hili. Hata sijui lengo lao ni nini! Na dhani wakati umefika kwa Viongozi wa Waislamu hasa wabunge, Mawaziri na wajumbe maalum la katiba kukataa Uhuni huu unaofanywa na Viongozi wenzao Wakristo wanaopokea maagizo kutoka kwa Viongozi wao wa Dini.

Itakua ni dhima kubwa kwa Waislamu wote walioko katika bunge la katiba kukaa katika Bunge ambalo hakika lina wacheza shere na kuwang'ong'a katika maamuzi yake. Kama nchi ambazo zina waislamu wachache kama vile Kenya, Uganda, Afrika Kusini na Uingereza wanatambua Mahakama za Kadhi kwa mujibu wa wakatiba zao, vipi leo Tanzania yenye Waislamu Wengi washikiwe akili na Wakristo walio wachache ambao historia inaonyesha hata Ushiriki wao katika Kudai Uhuru ulikua mdogo sana hasa ukizingatia kwao wao wazungu ilikua nembo ya Dini yao.
Mzimu tangu asubuhi nasoma nasoma post zako na comment zako nyingi nyingi humu! Mkuu mbona upo kiudini udini sana? Muislamu sio wewe tu humu tumo waislamu kibao! linapokuja suala la mahakama ya kadhi napata tabu kidogo! Matatizo ya Uislamu sio Mahakama ya Kadhi ndugu yangu! Matatizo ya Waislamu yanasababishwa na Taasisi tulioundiwa na serikali inayoitwa BAKWATA hapo ndipo tatizo la Msingi la Waislamu! Hata hao MACCM wanavyojishebedua na Mahakama ya kadhi mi nawashangaa sana! Wanaitamka Mahakama ya kadhi ilimradi tu wapate Muslim sympathy! na kupigiwa kura na waislamu hasa wa Pwani! ndio wavivu hawataki kufanya kazi ambao wengi ndio hao viongozi wakuu wa BAKWATA! Viongozi wenyewe shule hamna! Ili mtu uwe askofu wa KKKT ni lazima uwe at least na PHD lakini BAKWATA yetu ili uwe Mufti ni lazima uhifadhi Juzuu kadhaa kichwani! na uwe na uwezo wa ulozi kidogo! kama huamini uchaguzi wa bakwata ukifika Jaza fomu halafu ujaribu kuomba hata uenyekiti wa Mtaa(BAKWATA) upingane na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake anayegombea tena uone kama haupelekwi Mgombani(RIP)

Binafsi mimi ni Muislamu lakini napinga mahakama ya KADHI kwa Heshima zote! hatuwezi kutumia kodi zetu na za wasio kuwa waislamu kuanzisha mahakama inayohukumu makosa matatu tu! huku mahakama hiyo ikiwa na ngazi nyingi kama Chama cha siasa!

Shida kubwa ya sisi waislamu wa Tanzania ni kuongozwa na kusimamiwa na watu wasiokuwa na vision! wagomvi, zulmati nakadhalika(Rejea kina faridi waliopo magerezani wanalawitiwa lakn BAKWATA wala hata hawajalaani kitendo hicho)

Siungi mkono mahakama ya kadhi period!
 
Mzimu tangu asubuhi nasoma nasoma post zako na comment zako nyingi nyingi humu! Mkuu mbona upo kiudini udini sana? Muislamu sio wewe tu humu tumo waislamu kibao! linapokuja suala la mahakama ya kadhi napata tabu kidogo! Matatizo ya Uislamu sio Mahakama ya Kadhi ndugu yangu! Matatizo ya Waislamu yanasababishwa na Taasisi tulioundiwa na serikali inayoitwa BAKWATA hapo ndipo tatizo la Msingi la Waislamu! Hata hao MACCM wanavyojishebedua na Mahakama ya kadhi mi nawashangaa sana! Wanaitamka Mahakama ya kadhi ilimradi tu wapate Muslim sympathy! na kupigiwa kura na waislamu hasa wa Pwani! ndio wavivu hawataki kufanya kazi ambao wengi ndio hao viongozi wakuu wa BAKWATA! Viongozi wenyewe shule hamna! Ili mtu uwe askofu wa KKKT ni lazima uwe at least na PHD lakini BAKWATA yetu ili uwe Mufti ni lazima uhifadhi Juzuu kadhaa kichwani! na uwe na uwezo wa ulozi kidogo! kama huamini uchaguzi wa bakwata ukifika Jaza fomu halafu ujaribu kuomba hata uenyekiti wa Mtaa(BAKWATA) upingane na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake anayegombea tena uone kama haupelekwi Mgombani(RIP)

Binafsi mimi ni Muislamu lakini napinga mahakama ya KADHI kwa Heshima zote! hatuwezi kutumia kodi zetu na za wasio kuwa waislamu kuanzisha mahakama inayohukumu makosa matatu tu! huku mahakama hiyo ikiwa na ngazi nyingi kama Chama cha siasa!

Shida kubwa ya sisi waislamu wa Tanzania ni kuongozwa na kusimamiwa na watu wasiokuwa na vision! wagomvi, zulmati nakadhalika(Rejea kina faridi waliopo magerezani wanalawitiwa lakn BAKWATA wala hata hawajalaani kitendo hicho)

Siungi mkono mahakama ya kadhi period!

Halafu unajiita Muislamu, Kafiri Mkubwa wee! Hujui hata Sifa za Mufti. Kama ungejua maana tu ya hilo jina usingesema unachosema. By the way, BAKWATA ni dalili tu kua tunaugonjwa, lakini ugonjwa wenyewe ni MFUMO KRISTO. Huo ndio ulioleta BAKWATA, na ni mfumo ulioanzishwa na Julius Nyerere!

Mwalimu alikaririwa na Mwandishi Dr. John C. Sivalon, katika kitabu chake . Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (1992).

Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalon anafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofu mbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamu kati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislamu zikitiwa katika shughuli za Waislamu ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukatoliki katika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislamu ni adui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislamu ili kuudhoofisha.
 
Mimi nashauri kua kama inawezekana, uraia uwe zaidi ya Uraia Pacha! Kwani shida iko wapi?.
 
Hivi lini nyinyi mtaacha hizi nyimbo zenu za kijuha. Au mnafikiri sisi ni Waislamu wa wakati wa Nyerere?. Mliimba sana nyimbo ya ''msichanganye dini na siasa". Matokea yake bunge limejaa Maaskofu, mapadre na wachungaji. Hivi umeshasikia sheikh yoyote pale bungeni?.

Nyinyi sio tu kwamba ni Makafiri, bali ni wanafiki pia. Mnaimba Taarabu halafu mnacheza blues! Not this time. Not any more!

attachment.php

mkuu MZIMU mbona hiko kibandiko cha picha kinasema yote. Kwanini msiendelee wenyewe na shariah za Allah hadi mhusianishe na sheria za MAN MADE au za kikafir si mjihikumu wenyewe huko kwenye shura za.maimamu, bakwata na kwenye mabaraza ya idd.
 
Last edited by a moderator:
mkuu MZIMU mbona hiko kibandiko cha picha kinasema yote. Kwanini msiendelee wenyewe na shariah za Allah hadi mhusianishe na sheria za MAN MADE au za kikafir si mjihikumu wenyewe huko kwenye shura za.maimamu, bakwata na kwenye mabaraza ya idd.

Tatizo la uwelewa ni nje ya jukumu langu mimi kukufanya uwelewe! Tumia akili vizuri tu utaelewa!
 
Tatizo la uwelewa ni nje ya jukumu langu mimi kukufanya uwelewe! Tumia akili vizuri tu utaelewa!


mada yako imeeleweka na kuwa na mahakama ya kadhi kwenye katibu sio tatizo, kosa linakuja kwa watoa hoja kama wewe kubeza imani za wengine. nyie wote wakristu na waislamu mnasahau kuwa dini zote hizi tumeletewa sio tamaduni zetu hivyo ni vizuri kueshimiana sababu dini zote zimeletwa na meli kama sio kutawaliwa tungekuwa kama china au india iliotawaliwa wakajitambua.
 
Back
Top Bottom