serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,306
- 4,681
hahahaaa.. ina maana ubaunsa hau saidii??Ila kwa bonge kabla ya kuanza 'shughuri' unatakiwa uwe umekula umeshiba!
hahahaaa.. ina maana ubaunsa hau saidii??Ila kwa bonge kabla ya kuanza 'shughuri' unatakiwa uwe umekula umeshiba!
Ila kwa bonge kabla ya kuanza 'shughuri' unatakiwa uwe umekula umeshiba!
ni kweli kabisa wala haujakosea, pia wanajoto kweli................................
kama ulikuwa kwenye mawazo yangu, unamuoa mwembamba anakuja nenepa baadae hapo inakuwaje?? C programmingsasa wale ambao tulikuwa vimodo, then baada ya kupata mtt tukawa vibonge mnatuelezeaje
kama ulikuwa kwenye mawazo yangu, unamuoa mwembamba anakuja nenepa baadae hapo inakuwaje?? C programming
Nimekupenda gafla haki ya Mungu
Shauri ysko we wasikilize tu hawa jamaa, kwanza mabonge yanasababishakesho naenda kumtafuta bonge sasaa araaaa! kwanini wengine wafaidi peke yao?
Naomba ruhusa niitumie kama Background kwenye PC yangu
Anayebisha Abishe tu, lakini ukweli ni kwamba WANAWAKE MABONGE Ni Watamu Sana.
NINA USHUHUDA.