duh, eeeh wachina hakuna ki2 wanaacha, neno msamiat haram haupo kwa wenzetu hawa. Nyama ni nyama
ulisha anza udini hapa. haramu hata hivyo haijawhi kuwepo kwa wanadamu wote, ni kwa baadhi ya watu tu. maisha ya walahi usihamishe kwa wengine, wabenjamini na waebrania. Mungu alikuwa na malengo yake tu kwa kundi dogo la watu.
soma hapa kama una uelewa.
Mungu Aweka Agano na Noa (MWANZO 9:1-5)
Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, Zaeni mkaongezeke kwa
idadi na mkaijaze tenaa dunia. 2Wanyama wote wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu. 3Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.
4Lakini kamwe msile nyama ambayo bado ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni uhai. 5Hakika damu ya uhai wenu nitadai. Nitadai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa kila mwanadamu pia nitadai kwa ajili ya uhai wa mtu mwenzake.
Usinikumbushe nilipomtafuna nyoka nchini Thailand............Ndio maana niliamua kuwa vegetarian longitime!
Nilisikia Wachina hawako na imani kama hizi za kwetu, ukristo, uislamu, afadhali hata India kuna mchanganyiko wa imani, mpaka na hiyo ya kuabudu ng'ombe, sijajua Wachina wanamuabudu nani hasa