Ndoo ivyo mkuu unaweza mpata mtu wa nyota lakini mkolofi sana hapo inakuajeMwanamke asiye na busara anapotema sumu means kauli chafu kwa mume kama huna kizuio ukaruhusu Yale maneno machafu yaingie moyoni mwako umekwisha.Yeye akitema sumu kwake ujiona ni nafuu madhara ni kwa anaetemewa sumu.
Madhara ya sumu ya mwanamke
1.Riziki kupotea kabisa nyumbani, malaika akai kabisa kwenye kelele
2.Ndo chanzo cha kupungua kwa nguvu za kiume.
3.wanaume kuwa walevi
4.magonjwa ya moyo, kupooza,pressure nk sababu ya sonona au sikitiko
5.Wanaume kuzikimbia nyumba zao.
6.Upunguza uondoa upendo kabisa
7.Vurugu na magomvi yasiyoisha.
Hata biblia inasema ni bora uishi pekee yako jangwani kuliko kuishi na mwanamke mkorofi.
All in all ukimpata mtu wa nyota yako umepata dhahabu.