Johnson12345
JF-Expert Member
- May 29, 2023
- 206
- 422
Habari wiki iliyopita nilikuwa kwenye harusi moja hivi nilialikwa. Sasa nda wa ukumbini na maharusi kuingia. Sasa katika utambulisho binti aliwatambulisha wazazi wake wa kumzaa na BABA mlezi.
Iki hivi binti anawazazi wake kwenye kabisa wa kumzaa ila hawakuweza kuishi pamoja Baba alioa kwingine na mama akaolewa kwingine. Mtoto akakaa na mama yake kwa hio akalelewa na stepfather( Baba wa kufikia).
Sasa katika utabulisho nilishangaa sana reaction ya yule mama kwani alikuwa ni mtu kama muoga hivi.
Maana bibi harusi alimtambulisha baba mzazi, baba mlezi, na mama mzazi.
Ila mama hata kusimama alikuwa anona aibu falani. Hata mwishoni kwenda mbele alikuwa anaona aibu watu wengi tulishuka ila mwa upande wangu ni ile ishu ya wanaume wawili, naamini alikuwa anaona aibu mbele za watu inaonekana katembea na wanaume wawili.
Nilishangaa tuu , mimi niliona mbona wapo wengi kama hawa tuu. Ila pia nafikili pia watu labda wanavyomchukulia yule mama.
Kwa kweli katika vipengele kusimamishwa wazazi wote watatu alikuwa hata kusimama anajiumauma yule mama, mpaka watu baadhi wakawa wanacheka sana.
Alikuwa anaona aibu sana.
NB. JAMANI TUJIFUNZE KUZAA NA MTU MMOJA TUU SI KUCHANGANYA WATOTO BABA AU MAMA. NI AIBU SANA.
HASA UKIWA MTU MZIMA.
Iki hivi binti anawazazi wake kwenye kabisa wa kumzaa ila hawakuweza kuishi pamoja Baba alioa kwingine na mama akaolewa kwingine. Mtoto akakaa na mama yake kwa hio akalelewa na stepfather( Baba wa kufikia).
Sasa katika utabulisho nilishangaa sana reaction ya yule mama kwani alikuwa ni mtu kama muoga hivi.
Maana bibi harusi alimtambulisha baba mzazi, baba mlezi, na mama mzazi.
Ila mama hata kusimama alikuwa anona aibu falani. Hata mwishoni kwenda mbele alikuwa anaona aibu watu wengi tulishuka ila mwa upande wangu ni ile ishu ya wanaume wawili, naamini alikuwa anaona aibu mbele za watu inaonekana katembea na wanaume wawili.
Nilishangaa tuu , mimi niliona mbona wapo wengi kama hawa tuu. Ila pia nafikili pia watu labda wanavyomchukulia yule mama.
Kwa kweli katika vipengele kusimamishwa wazazi wote watatu alikuwa hata kusimama anajiumauma yule mama, mpaka watu baadhi wakawa wanacheka sana.
Alikuwa anaona aibu sana.
NB. JAMANI TUJIFUNZE KUZAA NA MTU MMOJA TUU SI KUCHANGANYA WATOTO BABA AU MAMA. NI AIBU SANA.
HASA UKIWA MTU MZIMA.