Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Mimi napita tu. Lakini ni viti maalumu, alipitaje huko?
wewe amemponya nani? kwa usafi gani?
Bwana (Mungu) haangalii kama binadamu aangaliavyo, kwakuwa binadamu hutazama sura ya nje bali Bwana hutazama MOYO
Hivi bado tu hajanyang'anywa Mang'ula Machine Tools kwa kuwa alitakiw awekeze kwenye line ya shughuli ambazo kiwanda kilikuwa kinafanya yeye akageuza kuwa shule. Alivinja masharti ya ununuzi.Kwa vile amefanya promo mjengoni, basi tutampa air time ya kutosha.
Kwanza atueleze shetani alipoweka nyaraka zake. Pili, uadilifu wa kiroho wa kununua kiwanda cha Mang'ula na je hakutoa kitu maana inaonekana kuna mkono wa shetani vile.
Ni mpakwa mafuta wa Bwana ambaye kupitia yeye wengi waliokuwa na matatizo ya kiroho walifunguliwa
na unajua kuwa rais wako ni mzungu woshiper?Mzungu
alionga ile mbaya kamati ya Ccm mkoa morogoro,ametumia zaidi ya 300mMimi napita tu. Lakini ni viti maalumu, alipitaje huko?
Ni mpakwa mafuta wa Bwana ambaye kupitia yeye wengi waliokuwa na matatizo ya kiroho walifunguliwa
JF inavyojulikana kila sehemu ni mtandao wa CDM
alionga ile mbaya kamati ya Ccm mkoa morogoro,ametumia zaidi ya 300m
fuatilia kaka mkuu tupate vivid hili hata mimi nalisikia ila sijui jina la mme wake aliyeachika na tarehe au mwaka