Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
Katika daladala mama alitaka kumnyonyesha mtoto, mtoto akakataa, mama akamwambia nyonya! Kama hutaki nampa anko anyonye, ni kaka mmoja abiria aliketi na huyo mama. Mtoto akanyonya kidogo akaacha, mama akamtishia tena, ntampa anko? Ndipo kwa hamaki jamaa akasema mama uwe na msimamo! Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajiri yako! Hebu kuwa mkweli! Unanipa ninyonye au nishuke?!