Anashauri bila kumuagiza DPP si wakati wa kushauri huu ni wa kuagiza utekelezaji uanze kupunguza mahabusu ili tuokoe gharama za kuwahudumia kuleJaji mkuu ameshauri uchunguzi uwe unakamilika mapema kabla ya mtu kukamatwa ili kupunguza mlundikano wa kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa. Humu anajiita Jonalist ndo alimchongea Erick kwa mamlaka!! Nadhani ana ujumbe ameupata!
Ukiishi katika nyumba ya vioo usianzishe ugomvi wa kutupiana mawe. Hii inatufundisha pia kuwa mchumba janga hulifaidi na nduguze. Pole sana wafiwaKafariki jamani, wamehujumu aman ya moyo wake hadi Umauti kumpata
Hivi pale mbinguni tutajibu nini
Familia ya Erik Mpola nebyemba
Cause and effect,bila mwanae kubambikwa asingekufa bali angeishi.RIP Mama.
Kiukweli muwe na akili kidogo tu, kila mama ya mtu akilia so mtuhumiwa aachiwe?
Acheni ufala nyinyi kabendera aenjoy tu makosa yake huko alipo.mahakama ndo itaamua kama kaonewa au kafanya makosa kweli
Washangirie ila wajue kifo sio cha mmoja na kwa bahati mbaya watakufa vibayanasikia watu wa kikundi cha praise team wanashangilia sana.
rest peace mama, uchungu wa mwana aujuaye mzazi, umekufa huku ukiwa na mawazo mengi juu ya hatma ya mtoto wako erick.
Ni katika namna mahakama kujiweka upande wa mkono wenye haki maana hata wao kuna wakat wanatoaga maamuz kwa shinikizoAnashauri bila kumuagiza DPP si wakati wa kushauri huu ni wa kuagiza utekelezaji uanze kupunguza mahabusu ili tuokoe gharama za kuwahudumia kule