Kipindi ni saa ngapi kinakuwa hewani?Maulid Kitenge Kiungo Muhimu Sana Kwenye Habari Za Michezo Sina Namna Inabidi Nianze Kusikiliza Wasafi FM Kumsikiliza Chumvi
Kipindi cha michezo kinakuwa hewani mida ya saa ngapi wasafi?Ana ma njonjo sasa yanafurahisha
Kwahiyo yale manjonjo ya habari za michezo ndio atatoa lulu sio?Ana ma njonjo sasa yanafurahisha
Saa mbili mpk tano kamili asubuiKipindi cha michezo kinakuwa hewani mida ya saa ngapi wasafi?
Kipindi ni saa ngapi kinakuwa hewani?
Ninadhan father house anatafuta attention ya watu baada ya Kitenge kuondoka na ameona mother house ni kipenzi cha wengi.
Ataweza tuu ndo kujifunza huko huko mbona zembwela ameweza kwa sasa anakimbiza na sio zembwela tuu mbana mpoki nae ni mtangaji au kicheko wako wengi nikiwaelezea hapa simalizi leo.Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
Nahisi katolewa na amri kutoka juu, nilimuona prince alivyochukia alipokwenda kuhimiza uandikishaji wa kuraAna ma njonjo sasa yanafurahisha
Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
Kwahiyo yale manjonjo ya habari za michezo ndio atatoa lulu sio?