Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,340
- 10,957
Mama kama hao wakikutanaga na dada zangu wa kizaramo wanakoma kuuliza maswali pumbavu kama hayo. Nategemea hapo jibu lingekua "tulikutana chooni"alitaka mkutane wapi yeye
wakati mwingine wazazi na sie tuna mastress yetu
halafu tunayahamishia kwa watoto
mpeni alichofuata aweze kurudi kwake.