Mama kijacho kukosa hamu ya kusex

Hellow jf,kabla sijabeba ujauzito nilikua napenda sana sex yani nikifikisha mwezi or miezi sijasex hapo nakua na hamu kuliko kawaida but tangu niwe mjamzito sijisikii kabisa yani hata hamu sinaa,miezi inakatika but sitamani wala sifikirii kabisa kuhusu sex sina hamu hata kidogo,hivi ni nini hasa hupelekea hii hali maana mwanzo nilikua napenda sana but tangu ninase preg walaaa sihitaji.
Naona huyo mtia preg alikuwa "anasugua" kwa fujo utadhan mtu alo na "ukame" wa nanihiii kwa takribani "vimiaka kadhaa" .......

So badala ya "KUPAGAWISHWA" had uimbe "ali selema alija, mchaka mchaka chinja" ww "UKAKEREHESHWA" hivyo si tu kumchukia yeye bali ukapoteza kabisa hamu ya kutiwa dudu ....
That's purely a "psychological effect"

USHAURI: Kwa "wapiga pushups" wote jamani hizo "dudus" zenu muwe mwazisukuma kwa step ili tusitengeneze akina "Illuminata" wengine
 
Kama unaniongelea hivi. Hata mimi sikuwahi kuwa na hamu ya sex mwanzoni na kweli nikacheki nikakuta nina ujauzito wa mtoto wa kiume. Sasa hivi mimba ina miezi nane na wiki kadhaa hamu ya kusex ndo imekuja na baba wa mtoto tulishaachana toka mimba ikiwa na mwezi kwa sababu hizo hizo alisema nikatoe nikagoma akaondoka mpaka leo hatuna mawasiliano. Navumilia tu hamu yangu ya sasa hivi.
C unikaribishe nije kukusaidia kuiondoa hiyo "hamu"
 
Naona huyo mtia preg alikuwa "anasugua" kwa fujo utadhan mtu alo na "ukame" wa nanihiii kwa takribani "vimiaka kadhaa" .......

So badala ya "KUPAGAWISHWA" had uimbe "ali selema alija, mchaka mchaka chinja" ww "UKAKEREHESHWA" hivyo si tu kumchukia yeye bali ukapoteza kabisa hamu ya kutiwa dudu ....
That's purely a "psychological effect"

USHAURI: Kwa "wapiga pushups" wote jamani hizo "dudus" zenu muwe mwazisukuma kwa step ili tusitengeneze akina "Illuminata" wengine
Wala haikuwa hivo
 
Kwani kufanywa ni chakula..
Yaani usipo fanywa unahisi utaugua..!?
Ebu lea hicho kijacho mama, ya huku duniani tuachie sisi tulio shindikana
 
wewe si umesema bwana wako alikukimbia ulivyopata mimba inakuaje useme hauna hamu tena ya sex
 
Huwa inatokea kupoteza hamu ya kufanya mapenzi kwa wajawazito lakini nakushauri jitahidi kupata mgegedo ili njia itanuke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom