Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
- Thread starter
- #21
Nawe changia mkuu kwa uelewa wakokulikuwa na swali la msingi sana sasa huu Uzi wamevamia watoto wanaisubur post za vyuo ndo shida imeanzia hapo
Nawe changia mkuu kwa uelewa wakokulikuwa na swali la msingi sana sasa huu Uzi wamevamia watoto wanaisubur post za vyuo ndo shida imeanzia hapo
mi nshahisi hvyo ngoja tumsubir aiseeTeh teh teh teh,lets wait time will tell
Hellow jf,kabla sijabeba ujauzito nilikua napenda sana sex yani nikifikisha mwezi or miezi sijasex hapo nakua na hamu kuliko kawaida but tangu niwe mjamzito sijisikii kabisa yani hata hamu sinaa,miezi inakatika but sitamani wala sifikirii kabisa kuhusu sex sina hamu hata kidogo,hivi ni nini hasa hupelekea hii hali maana mwanzo nilikua napenda sana but tangu ninase preg walaaa sihitaji.
Teh teh teh,Mkuu rejea kwa post yangu utanielewa yan ni kwamba sina ham ya kusex hata kidogoo tangu mimba ishike mpaka sasa
mimba ya mtoto wa kiume hiyo nais siku ukisikia anakuja utaondoka ukalale gestKwa upande wake yeye sielewi maana sipo karibu nae pia tangu na mimba before hatujawa na kwaro feeling kwake zilikata hata yeye tu nilikua sipendi niwe nae karibu even akinigusa or nikimwona nilikua naona kero tu,na hata before hatujablock communication daily ulikua ni ugomvi tu na hata sasa sitamani hata kumwonaaa.
Hata sijakuelewa mkuuhivi mtu kakupa mimba then kakutelekeza
unapataje hamu by the way
mbna ulimikimbia pm?
Hakuna alonitumanani alikutuma usitumie kondom
Ok mkuumi nshahisi hvyo ngoja tumsubir aisee
kumbeeeePole cn lkn ukisex ukiw ivo una harb mtt
kwani si ndiye wewe uliyetoa thread hapaHata sijakuelewa mkuu
So hivo,ni kwamba alitaka nitoe preg me nikagoma and tangu hapo tuka break up even communcation hakuna btn us,but hicho si chanzo coz hiyo hali ilinianza tangu niliponasa tu ujauzito na hata kipindi tuko nae kabla hatuja break wala kuwa na kwaro nikiwa mjamzito nilikua ktk hali hii ya kutokuwa na hamu ya kusex!kwani si ndiye wewe uliyetoa thread hapa
unaomba ushauri
kuna mtu amekupa mimba alafu amekutelekeza
sio wewe?
So hivo,ni kwamba alitaka nitoe preg me nikagoma ko akasema ntajua mwenyewe na kijacho wangu and tangu hapo tuka break up even communcation hakuna btn us,but hicho si chanzo coz hiyo hali ilinianza tangu niliponasa tu ujauzito na hata kipindi tuko nae kabla hatuja break wala kuwa na kwaro nikiwa mjamzito nilikua ktk hali hii ya kutokuwa na hamu ya kusex!
Kama unaniongelea hivi. Hata mimi sikuwahi kuwa na hamu ya sex mwanzoni na kweli nikacheki nikakuta nina ujauzito wa mtoto wa kiume. Sasa hivi mimba ina miezi nane na wiki kadhaa hamu ya kusex ndo imekuja na baba wa mtoto tulishaachana toka mimba ikiwa na mwezi kwa sababu hizo hizo alisema nikatoe nikagoma akaondoka mpaka leo hatuna mawasiliano. Navumilia tu hamu yangu ya sasa hivi.
Me nimeuliza nawe waniuliza sijui wataka nikujibuje mkuuhaya twambie
we wahisi ni tatizo au waona ni sawa
tuanzie hapo kwanza
Daaah jaman kumbe sipo peke yangu,polee mwaya jikaze tu kama umevumilia siku zote hizo huwezi shindwa palipobaki..Kama unaniongelea hivi. Hata mimi sikuwahi kuwa na hamu ya sex mwanzoni na kweli nikacheki nikakuta nina ujauzito wa mtoto wa kiume. Sasa hivi mimba ina miezi nane na wiki kadhaa hamu ya kusex ndo imekuja na baba wa mtoto tulishaachana toka mimba ikiwa na mwezi kwa sababu hizo hizo alisema nikatoe nikagoma akaondoka mpaka leo hatuna mawasiliano. Navumilia tu hamu yangu ya sasa hivi.
Me nimeuliza nawe waniuliza sijui wataka nikujibuje mkuu
Thank Youzamani ulivyokua ukihisi hamu una do na sasa husikii hamu waona tofauti yoyote katika mwili wako
nakuuliza ndo nataka nikutibu mkuu