sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
mama ni mama, mkeo asingelikujua bila mama, bali mke ana nafasi yake , na mama ana nafasi yake. kimsingi ongea na mkeo awe karibu na mkwewe , ajifunze sio kununa wala kuanza hila. huyo ni mama yako, mtoto kwa mama hakui, achukue hizo changamoto kama somo atamuelewa mkwe wake na kama akishindwa basi avumiliue na wala asionyeshe kukerwa, kwani mama kahamia hapoooo, si amekuja kusalimia tu!!!! bali akumbuke kesho yeye naye ni mama hivyo atajukuta hili linalotokea sasa likahamia kwake. ndio maisha.