joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,164
- 31,746
Kwao kila kitu ni kiki hawajui kutofautisha uhalisia na maigizo mfano harusi ya esma anzia gari mpaka kumnanga petit
Domo angekua mbali ila familia yake inamdondosha sana. Cheki wanavyoitumia wasafi media vibaya.
Wao wanadhan wanamsaidia kumbe wanamdidimiza. Au wanataka kuwa kardashians wa bongo?
Ya harusi siwezi mlaumu sababu Esma kayavaba mwenyewe kwa kupenda wanaume wenye pesa kumbe kamvaa mtoto wa mjini.
Wasafi kwangu mimi naona haitumiki vibaya,ndio maana inafanya vizuri ukitaja radio 3 zinazo sikilizwa sana lazima Wasafi kibiashara kafanikiwa SANA,kwa mikoa iliyopo na hata ukiangalia future yao inaiona ipo vizuri.
Domo hawezi kuwa mbali na familia yake,sababu ndio aliotafuta nao kuni,so sasa hivi wanaota moto pamoja na uduni wao na uswahili wao,wao ndio waliomfanya awe vile leo alivyo japokuwa kakulia maisha ya uswahili,huwezi kuwatenga walio kulea,kukuza na kufariji nyakati za shida.
Ile familia imekosa kitu kimoja privacy,hata yule mzee nae walewale kila siku yupo kwenye mikamera mwaka wa 8 sasa,watu wanapiga hela kupitia yy.