Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,643
- 1,786
Kisa na mkasa yalonikuta dah!
Subiri kwanza machozi nafuta
Nikikumbuka jinsi nilivyopataga
Msichana mrembo mtam kama Matata
Nilipopata nilidhani nimepata
Kumbe nimepatikana
Mitaa ya kati sasa sitaki kupita
Mwenzenu mi naona noma
Umalaya chati kashika
Anagawa kwa kila rika
Hebu shika talaka nendaa nendaa
Mambo uliyotenda
Kuyavumilia nimeshindwa
Nendaa, nendaa, nendaa
Hata kama zamani nilipenda
Ya nini malumbano
Ya nini maneno
Najiweka pembeni
Naepusha msongamano
Bora nitulie
Ningoje changu na mie
Mola nijalie
Haya yasijirudie
Mengi nimevumilia
Hayapungui yanazidia
Hivi kwa nini my dear
Ama hujui kwamba naumia
Pombe kichwani umeingia
Eti saa nzima walia
Mi ghetto nishajilalia
Kitandani ukatapikia
Kigezo sikukupenda
Eti kupenda nisikopenda
Sasa kwa nini unanitenda
Au ndo malipo ya kukupenda
Nisichopinga ni kwamba
Ukweli nilikupenda
Nilichoshindwa ni kuvumilia
Unayotenda baby
Nendaa, nendaa, nendaa
Hata kama zamani nilipenda.
Washikaji walinambia
Kwamba demu ni kiruka njia
Nilidhani wamenipangia
Kunikandia nikapuuzia
Chezo lilipoanza
Nilidanganyaga naenda Mwanza
Kurudi kitu cha kushangaza
Nakuta kidume
Kimejilaza ghetto
Nendaa, nendaa, nendaa
Hebu shika talaka nenda
Bbaby girl baby nendaa
Mambo uliyotenda
Kuyavumilia nimeshindwa mie
Nendaa, nendaa, nendaa
Hata kama zamani nilipenda
Subiri kwanza machozi nafuta
Nikikumbuka jinsi nilivyopataga
Msichana mrembo mtam kama Matata
Nilipopata nilidhani nimepata
Kumbe nimepatikana
Mitaa ya kati sasa sitaki kupita
Mwenzenu mi naona noma
Umalaya chati kashika
Anagawa kwa kila rika
Hebu shika talaka nendaa nendaa
Mambo uliyotenda
Kuyavumilia nimeshindwa
Nendaa, nendaa, nendaa
Hata kama zamani nilipenda
Ya nini malumbano
Ya nini maneno
Najiweka pembeni
Naepusha msongamano
Bora nitulie
Ningoje changu na mie
Mola nijalie
Haya yasijirudie
Mengi nimevumilia
Hayapungui yanazidia
Hivi kwa nini my dear
Ama hujui kwamba naumia
Pombe kichwani umeingia
Eti saa nzima walia
Mi ghetto nishajilalia
Kitandani ukatapikia
Kigezo sikukupenda
Eti kupenda nisikopenda
Sasa kwa nini unanitenda
Au ndo malipo ya kukupenda
Nisichopinga ni kwamba
Ukweli nilikupenda
Nilichoshindwa ni kuvumilia
Unayotenda baby
Nendaa, nendaa, nendaa
Hata kama zamani nilipenda.
Washikaji walinambia
Kwamba demu ni kiruka njia
Nilidhani wamenipangia
Kunikandia nikapuuzia
Chezo lilipoanza
Nilidanganyaga naenda Mwanza
Kurudi kitu cha kushangaza
Nakuta kidume
Kimejilaza ghetto
Nendaa, nendaa, nendaa
Hebu shika talaka nenda
Bbaby girl baby nendaa
Mambo uliyotenda
Kuyavumilia nimeshindwa mie
Nendaa, nendaa, nendaa
Hata kama zamani nilipenda