Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,905
- 15,607
Soma hiooo
HahahahaNa anang'watwa na mbu
Tunamambo mengi ya kuombea
Mawazo ya kimasikini bhana!!! 😁Kwel kifo ni mpango wa Mungu ,huyu malkia ana timu kubwa ya madactari na manesi wako maalumu kulinda afya yake kuanzia kuoga had kula,sasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.
Come downTuache kuwaombea babu zetu na bibi zetu wa Afrika ni mwombee pumbavu aliyeongeoza utawala uliouwa watu wengi sana Duniani