Malipo ya Mamilioni Parastatal Pensions Fund (Invoices): Rewarding and Defending Corruption

Status
Not open for further replies.
Taarifa ni nzito sana. Hali ndani ya PPF ni tete. Hivi usalama wa huyu Mhasibu Mkuu utakuwepo? Serikali kama inalifanyia kazi basi impe ulinzi huko Mbeya.

Taarifa toka ndani ya PPF zinasema ilitumwa timu ya watu wawili Mbeya kubebe komputa yake yeye akiwa hayupo. Timu hiyo iliondoka DSM usiku na kutinga Mbeya mchana, wakang'oa computer yake mpaka mouse na kuondoka mchana huohuo.

Je matumizi ya fedha za per diem za maofisa wawili na dereva pamoja na mafuta ya gari, kweli ufisadi hulindwa kwa gharama zozote zile.

per diem- officers 2X145,000X3=870,000
Driver 1X125,000X3=375,000
Mafuta lt 300X2000=600,000
Jumla bila uchakavu 1,845,000

Minimum pensioners 37 X50,000=1,850,000. Pesa ya kulipa wastaafu 37 imechezewa ili kuikwapua komputa ya aliyekuwa Mhasibu Mkuu, Je watashindwa kumuua ili kuondoa ushahidi?
 
Halafu wale Kenge wanasema eti ni lazima uwe hapa nchini kuipigania nchi yako. Mzee waoneshe na sisi tuko nyuma yako
 
Halafu wale Kenge wanasema eti ni lazima uwe hapa nchini kuipigania nchi yako. Mzee waoneshe na sisi tuko nyuma yako


mmh.. rekodi yangu mbona ilishakuwa wazi kwa muda mrefu wanaosema hivyo wanajifanya ni vipofu wa mambo ambayo tumefanikiwa kuyafanya miaka mitano iliyopita. Tatizo ni kuwa hii miaka mitano tuliyoanza inatishia uwepo wao na watoto wao madarakani. Ndio maana tunataka tuwaache wapumue kidogo na kuwaachia wengine wachukue tunapoishia sisi..
 
I feel sick.
Kweli binadamu wote ni sawa lakini watanzania wote hatuko sawa. This ufisadi is too much sasa!
 
mmh.. rekodi yangu mbona ilishakuwa wazi kwa muda mrefu wanaosema hivyo wanajifanya ni vipofu wa mambo ambayo tumefanikiwa kuyafanya miaka mitano iliyopita. Tatizo ni kuwa hii miaka mitano tuliyoanza inatishia uwepo wao na watoto wao madarakani. Ndio maana tunataka tuwaache wapumue kidogo na kuwaachia wengine wachukue tunapoishia sisi..

Mzee nakumbuka maneno ambayo marehemu Bob Robinson Alimwamabia SAF kocha wa Manu kuwa unataka kustaafu kufundisha soka ili ufanye nini? Ukacheze na wajukuu? Amini nakumambia my bro kazi unayofanya ni wito na wito utakwita popote ulipo, hata mimi natamani nipate wito kama wewe ila nasubiri muda . Huwezi kuaacha wito bila kukamilisha malengo na kwa sisi tunaotafsiri kigalatia tunaanza kulia usije ukawa umepewa ujumbe kama aliopewa Ezekiel................................ After all you have many reasons to ask for 20 more years
 
Taarifa ni nzito sana. Hali ndani ya PPF ni tete. Hivi usalama wa huyu Mhasibu Mkuu utakuwepo? Serikali kama inalifanyia kazi basi impe ulinzi huko Mbeya.

Taarifa toka ndani ya PPF zinasema ilitumwa timu ya watu wawili Mbeya kubebe komputa yake yeye akiwa hayupo. Timu hiyo iliondoka DSM usiku na kutinga Mbeya mchana, wakang'oa computer yake mpaka mouse na kuondoka mchana huohuo.

Je matumizi ya fedha za per diem za maofisa wawili na dereva pamoja na mafuta ya gari, kweli ufisadi hulindwa kwa gharama zozote zile.

per diem- officers 2X145,000X3=870,000
Driver 1X125,000X3=375,000
Mafuta lt 300X2000=600,000
Jumla bila uchakavu 1,845,000

Minimum pensioners 37 X50,000=1,850,000. Pesa ya kulipa wastaafu 37 imechezewa ili kuikwapua komputa ya aliyekuwa Mhasibu Mkuu, Je watashindwa kumuua ili kuondoa ushahidi?

Tuuma hizo ni nzito sana. Naomba usalama wa Taifa ambao wako humu JF wafatilie hili jambo kwa undani zaidi. Viongozi wote ambao wanaperuzi humu JF pia waliangalie. Ama kweli JF ni home of great thinkers.
 
Tuuma hizo ni nzito sana. Naomba usalama wa Taifa ambao wako humu JF wafatilie hili jambo kwa undani zaidi. Viongozi wote ambao wanaperuzi humu JF pia waliangalie. Ama kweli JF ni home of great thinkers.


Sasa utaombaje usalama wa taifa tena wakati wao ndiyo washirika wakubwa kwenye ufisadi wote? hao watoe kabisa dawa ni nguvu ya umma
 
Cha hatari ni kuwa hizi ndizo hela zinazoonekana kwenda 'direct' kwa wahusika zikiwa na receipts, kumbuka hawa watu wana fedha zingine zinazopatikana kinyume cha sheria (kama tenders pamoja na mbinu zingine za kifisadi). Matokeo ni kuwa bila kutumia mbinu na nguvu za ziada kuwaadabisha wataweza kujenga uwezo wa "kupambana" na walinda sheria na kuwashinda (kwa kipindi fulani na sio daima) kama kufadhili vikundi vya uhalifu kuwadhuru wapinzani wao (kama huyo mhasibu) pamoja na kuendelea kuingiza 'watu' wao kwenye system.
 
ndugu mwanakijiji kwanza nakupa hongera zote kwa kuweza kufichua uozo wote unao ufichua kitika nchi yetu! kwa hilo lazima nikup epongezi zote ila sijui me naona myb we should change the tactics (dont ask me which tactics we should use now,as am not i a position to give the best tactic).
kwa mtazamo wangu me naona hii njia tunayoitumia kuja kufichua haya mambo kwenye mtandao haitatusaidia kwa lolote, sababu tunaosoma hii mitandao ni wachache na kisha ni wafanyakazi wa haya haya ma institution kwaiyo inakua ngumu kwetu kuweza kupiga kelele na kusema lolote maana wote tunaogopa vibarua vyetu visiote mbawa!
ingawa nilisema sipo kwenye position ya kusema tactic gani itumike ila nafikiri kama inawezekana haya mambo tuyapeleke kwa wananchi kwa kuandika magazetini (najua wewe wanga una colum yako kwenye raiamwema,but pia ikiwezekana tuweke kwenye daily news papers) na pia tukipata vipindi maalum hata kwenye radio its okey kujaribu kuwaonyesha wananchi jinsi nchi inavyoliwa.
sasa me naona kama jk alisema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala,nazan hata tupigeje kelele huku kwenye mitandao hakutakua na lolote tujaribu kupeleka haya mambo kwa wananchi ndo wataogopa,we si unaona maandamano kidogo tu ameogopa na kusema chadmea wanataka kumpindua?????

nawasilisha
 
ndugu mwanakijiji kwanza nakupa hongera zote kwa kuweza kufichua uozo wote unao ufichua kitika nchi yetu! kwa hilo lazima nikup epongezi zote ila sijui me naona myb we should change the tactics (dont ask me which tactics we should use now,as am not i a position to give the best tactic).
kwa mtazamo wangu me naona hii njia tunayoitumia kuja kufichua haya mambo kwenye mtandao haitatusaidia kwa lolote, sababu tunaosoma hii mitandao ni wachache na kisha ni wafanyakazi wa haya haya ma institution kwaiyo inakua ngumu kwetu kuweza kupiga kelele na kusema lolote maana wote tunaogopa vibarua vyetu visiote mbawa!
ingawa nilisema sipo kwenye position ya kusema tactic gani itumike ila nafikiri kama inawezekana haya mambo tuyapeleke kwa wananchi kwa kuandika magazetini (najua wewe wanga una colum yako kwenye raiamwema,but pia ikiwezekana tuweke kwenye daily news papers) na pia tukipata vipindi maalum hata kwenye radio its okey kujaribu kuwaonyesha wananchi jinsi nchi inavyoliwa.
sasa me naona kama jk alisema kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala,nazan hata tupigeje kelele huku kwenye mitandao hakutakua na lolote tujaribu kupeleka haya mambo kwa wananchi ndo wataogopa,we si unaona maandamano kidogo tu ameogopa na kusema chadmea wanataka kumpindua?????

nawasilisha
 
yaani sijui hata niseme nini, kuna watoto hawjui shule ni nini? kuna watanzania hawajua kesho itakuaje, wajawazito na watoto wanapoteza maisha kila siku kisa dawa na matibabu finyu yaani ni mengi mengi sana, sasa unaposikia upuuzi unaoteka hapo PPF natamani sijui hata mmmmmmmh, kuna haya ya kizazi cha walafi kupotea kwa gharama yoyote kwanza ili tukae sawa vizuri doooo
 
Shika adabu yako wewe unataka NAO ifutwe ili tuje kula kwako au??! Chunga sana aise
Kumbe NAO ipo ili ninyi na wanenu muendelee kula! Haiwezekani TAASISI ya UMMA ikazikagua taasisi nyingine za umma. Tulikuwa na TAC kwa ajili ya mashirika ya umma. Karibu yote hayapo sasa na TAC yenyewe. Tuna COASCO kwa ajili ya vyama vya ushirika. Hakuna chama cha ushirika kilicho na afya.
 
Huu ni wizi,ubinafsi,ufisadi,uroho na uozo,kama wakaguzi waliiona na Rais akapelekewa ripoti bila ya kuchakachuliwa..,sasa tatizo ni kubwa kuliko tunavyoliona..
 
Mzee mifuko mingine inafanya ufisadi kwa namna nyingine kabisa kupitisha fedha haramu;

Fikiria mfuko unajenga nyumba kwa mkopo wa milioni 20 kwamba baadaye aliyejengewa ataulipa.
Baada ya muda aliyejengewa anashindwa kulipa
Mfuko unaichukua hiyo nyumba
Unaipiga bei kwa milioni 5
Guess nani ananunua.. !!

Halafu mfuko unajenga kwingine..

Hii ni mbinu mojawapo..

Unatonesha vidonda, nyumba watanunua wenyewe, ah!
Halafu kuna mzee kule Tunduru amestaafu mwaka jana na faili halionekani, inabidi aanze kupata barua ya kijiji, halafu barua ya mwajiri wake wa kwanza kule bukoba ili faili lishughulikiwe. Mstaafu hana pesa za kuleta document Dar es Salaam anasubiri majaaliwa. Atapata mafao yake ya milioni 5 kwa miaka 25 ya kumenyeka mwaka 2014, atatumia milioni 2 kwa matibabu na pengine kabla ya matibabu muda wake wa kurejea kwa muumba umetimia. Wapo wanaolamba M200 kama bonus.

Halafu wapo wanaotupofusha tuamini kuwa eti mifuko inaongozwa na Waumini. !!!
 
Ndiyo sababu sometimes huwa napenda kusoma story yza kikombe cha babu maana kimeleta matumaini kwa Wadanganyika wengi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom