Nilikuwa mfanya kazi wa shirika la umma kwa kipindi cha miaka 16 hivi, lakini niliondoka na kuanza shughuli zangu mwenyewe. Kipindi hicho nilikuwa nakatwa michango ya PPF kutoka kwenye mshahara wangu kila mwezi, lakini baada ya kuondoka sikurudishiwa michango yangu hiyo eti kwa vile wanadai niliacha kazi kwa hiari yangu mwenyewe, hivyo sikuwa na haki na hela zangu zilizokatwa kama michango ya PPF; uonevu gani huo jamani, ile ilikuwa nji hela yangu! To the best wangenirudishia hela yangu halisi hata bila interest wakabaki na ile contribution ya mwajiri wangu. Kumbe hivyo ndivyo wanavyotumia pesa zetu?
hatuwez kuchukua hela kwa kutumia keyboard. kimsingi ni kwamba tumevamiwa na wakoloni-wazawa. lazima tujikomboe. na bila kufa mtu katu hatutapata ukombozi. lakini mitanzania ilivyokuwa mioga najua itasema "anza wewe".[/QUOTE]
haya bwana anza wewe sasa.
Nisaidieni tumwondoe CAG na NAO yake yote. Hana analofanya huyu baba pamoja na mshahara mkubwa. Kwenye Halmashauri/manispaa/miji fedha zinahamishwa si kawaida. Madaraja yanajengwa kwenye makaratasi tu. Serkali Kuu, BOT, Mashirika ya UMMA usiombe.
punguza muda wa kushangaa uanze kutoa ideas za kupambana na matukio yanayoaibisha taifa kama hayathis is serious. Am still wondering.
Ahsante Mwanakijiji kwa post yako. Ila suala la corruption hapo hakuna. Therefore, your headline kwenye hii post may be misleading. Mimi sioni rushwa hapa. Kwa taarifa yako, haya malipo ni jambo la kawaida kwa mashirika ya umma. Kusema kuwa PPF is rewarding corruption is both inaccurate and unfair kwani PPF ina Board of Trustees ambayo inawakilisha wadau wote -- ikiwemo serikali na wafanyakazi kupitia trade unions. For your information, haya malipo yamepitishwa na Bodi ya PPF kwa wafanyakazi wa menejimenti na yamekuwa yakifanyika miaka mingi wanapostaafu nk.
Ieleweke kuwa malipo haya hayafanyiki PPF tu bali kwenye taasisi zote au mashirika yote makubwa serikalini yenye pesa nyingi mfano Benki Kuu (BoT), NSSF, PSPF, Tanzania Ports Authority, TRA, Tanzania Investment Bank, TANAPA na kwingineko.
Juzi Director General wa PSPF amestaafu, hebu fuatilia PSPF wamemlipa milioni mia ngapi kama kifuta jasho chake uone mambo.
Hapa unahitajika mjadala mpana zaidi kuhusu mafao (remunerations) ya manejimenti ya mashirika ya umma kulinganisha na ya wafanyakazi wa kada za chini. Vingenevyo kuendelea kuitaja NSSF mara PPF kuwa eti zina matumizi mabaya ni kama withchunting au kuziandama taasisi hizi na viongozi wake.
Hebu jaribu kufuatilia BoT, TRA, PSPF au hata Daily News (TSN) uone menejimenti wanalipana pesa ngapi.
Naomba tufanye mjadala uwe mpana zaidi kwa kuangalia mashirika yote makubwa ya umma wanalipana vipi ili tuweze kufanya comparisons na kujua ukweli uko wapi kuliko kila siku kuwanyooshea vidole NSSF na PPF na to jump to conclusions kuwa kuna corruption.
Tupo pamoja!...
Nisaidieni tumwondoe CAG na NAO yake yote. Hana analofanya huyu baba pamoja na mshahara mkubwa. Kwenye Halmashauri/manispaa/miji fedha zinahamishwa si kawaida. Madaraja yanajengwa kwenye makaratasi tu. Serkali Kuu, BOT, Mashirika ya UMMA usiombe.
punguza muda wa kushangaa uanze kutoa ideas za kupambana na matukio yanayoaibisha taifa kama haya
Ahsante Mwanakijiji kwa post yako. Ila suala la corruption hapo hakuna. Therefore, your headline kwenye hii post may be misleading. Mimi sioni rushwa hapa. Kwa taarifa yako, haya malipo ni jambo la kawaida kwa mashirika ya umma. Kusema kuwa PPF is rewarding corruption is both inaccurate and unfair kwani PPF ina Board of Trustees ambayo inawakilisha wadau wote -- ikiwemo serikali na wafanyakazi kupitia trade unions. For your information, haya malipo yamepitishwa NA BODI ... .............
[/B]Hebu jaribu kufuatilia BoT, TRA, PSPF au hata Daily News (TSN) uone menejimenti wanalipana pesa ngapi.
Naomba tufanye mjadala uwe mpana zaidi kwa kuangalia mashirika yote makubwa ya umma wanalipana vipi ili tuweze kufanya comparisons na kujua ukweli uko wapi kuliko kila siku kuwanyooshea vidole NSSF na PPF na to jump to conclusions kuwa kuna corruption.
Tupo pamoja!...
Mimi bado nasubiri comments za wale waliokuwa wanamshambulia Mwanakijiji kuwa anaishambulia NSSF kwa sababu kiongozi wake ni mwislamu.
Mwanakijiji Asante sana na hapo sasa unatenda haki ulizidi kuiandama NSSF mkuu. Ndio naweka msisitizo wa kauli yangu nyuma kwamba Pension funds za Tanzania zinatumika kama shamba la bibi na zikija kuanguka tutalia na kusaga meno maana uchumi wetu utayumba vibaya sana na nchi kupoteza mwelekeo. Nasubiria kwa hamu malipo ya mzee Erio maana inaelekea ni kitita cha nguvu yeye na wapambe wake. Maskini wachangiaji wa PPF.
Mwanakijiji Asante sana na hapo sasa unatenda haki ulizidi kuiandama NSSF mkuu. Ndio naweka msisitizo wa kauli yangu nyuma kwamba Pension funds za Tanzania zinatumika kama shamba la bibi na zikija kuanguka tutalia na kusaga meno maana uchumi wetu utayumba vibaya sana na nchi kupoteza mwelekeo. Nasubiria kwa hamu malipo ya mzee Erio maana inaelekea ni kitita cha nguvu yeye na wapambe wake. Maskini wachangiaji wa PPF.
Hakuna Mjadala wowotekuhusiana na ushenzi huu maadam kuna watu wanadai pension zao toka kufa kwa EAC,walimu na wafanyakazi wengi walioachishwa kazi a wengine kustaafu baada ya mashirika mengi ya serikali kubinafsishwa.. Haki yao inatangulia mbele ya kila kitu..
Hii ni dhulma na haiwezi kubeba kwa kutumi vigezo ambavyo havi apply sawa na kesi hii...
Warofo,
Wazo lako zuri ila kuna shida mmoja tukianza kulinganisha malipo ya menejiment tutakuja kukwama katika performance yao kiutendaji. Na hii ni kwasababu performance ya NSSF, PPF, PSPF, Daily News, BOT na TRA wanatofautiana. Labda ungelikuwa specific kusema tulinganishe kitu gani?
Umezungumzia malipo yameidhinishwa na Board of Trustee kumbuka jiulize ni kina nani wamo ndani ya board of trustee katika hizi pension funds. Utakuta board zao zimejaa wanasiasa, wafanyabiashara na management yenyewe. Sasa unavyofikiri uhuru wa maamuzi ya board upo? Mfano mwaka 2006 Chairman wa Board alikuwa Gray Mgonja (Katibu mkuu wa Ministry for Finance), Members walikuwa Monica Mbega (MP), Ramadhan Khijja (Katibu mkuu wa wizara siikumbuki), Elvis Musiba (Chairman TCCIA), Professor Bertha Koda, Samwel Lwakatare, na William Erio. Hapa tunaona kabisa board imeongozwa na utashi wa wanasiasa na behind the closed door serikali je maamuzi yao yatakuwa huru? Pia ukiichunguza zaidi board unaona CEO au DG wa PPF yupo ndani ya Board na hivyo basi akifahamu haya malipo yanamnufaisha mwenyewe unafikiri atayapinga? Binafsi DG alitakiwa asiwe board member kama ni member basi asiwe na voting right kuzuia ufisadi. Vile vile wanasiasa wasiwemo katika board maana watatekeleza matakwa ya chama tawala.
Usisahau impact ya kuanguka kwa pension mkuu kutaathiri uchumi wa Tanzania kwani kuna pesa za wavuja jasho na serikali itabidi iwabail out . Sasa serikali yetu yenyewe haina hela na inadaiwa na hizo pension mabilioni kwa matrilioni unafikiri kitakachofuatia hapo ni nini???
Malipo ya NSSF kwa Wakurugenzi wake na Bodi ni kiasi gani kulinganisha na yale yale ya PPF kwa mfano?