Malipo ya Mamilioni Parastatal Pensions Fund (Invoices): Rewarding and Defending Corruption

Status
Not open for further replies.
Wastaafu wengi sana hasa wale wa elimu ya juu wamekuwa wakilalamikia malipo wanayopata kutoka PPF kuwa hayalingani na viwango vyao vya utumishi wa umma, na kuwa wanazidiwa hata na waajiriwa wa kawaida kutoka mifuko mingine. Sasa leo nimejua sababu kuu ni nini?. Yaani jamaa wanajimegea michango ya wataalam wetu kama hawana akili nzuri duh!, Only in Tanzania!. Ndiyo maana watu wanag'ang'ania madaraka hata kama wananchi wamewachoka.
 
Jaman mm naona sasa tuingie mtaani tu, jaman inatosha sasa wamezidi kutuburuza! I wl die 4 my country
 
Ukijumlisha mamilioni hupati bilioni?
Basi aseme watapokea zaidi ya bilioni, sio "watapokea mamilioni (jumla zaidi ya bilioni)"!

Uki sound kama innumerate au illiterate fulani basi hata mada yako nzima mtu anaishukushuku.
 
Basi aseme watapokea zaidi ya bilioni, sio "watapokea mamilioni (jumla zaidi ya bilioni)"!

Uki sound kama innumerate au illiterate fulani basi hata mada yako nzima mtu anaishukushuku.

Katika fikra zako ambazo ni very numerate and literate (whatever that means) unaamini umetafsiri kwa usahihi kauli hii kwa Kiswahili?

receive from (the) fund millions of Tanzanians shillings (over a billion in total)
 
Katika fikra zako ambazo ni very numerate and literate (whatever that means) unaamini umetafsiri kwa usahihi kauli hii kwa Kiswahili?

receive from (the) fund millions of Tanzanians shillings (over a billion in total)

Mwanakijiji usipoteze muda na wenye akili kama za pimbi.



Ukijumlisha mamilioni hupati bilioni?

Ulijifunza wapi numbers vijitu vingine bwana ..... .... ..... what makes a billion is one thousand million and in saying so not one person is receiving a billion therefore the author is right. How s t u p i d can you sound when you think you're right. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee


1,000,000,000 (one billion, short scale; one thousand million, long scale) is the natural number following 999,999,999 and preceding 1,000,000,001.
 
Mbona hata chenyewe hatujakiweka...? Halafu wapo wanaosema ati niko Usalama wa Taifa! I hate them with a passion aisee!

Mbona wanakusingizia lakini pengine uko Usalama wa Taifa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee you hate them with a passion ... .... ... I like that!
 
Nadhani unahitaji kurudi primary kama siyo chekechea.
Mwenzio katoa hoja jibu kama una hoja na siyo kuleta ubishi wa kike hapa
100 mil * 10 = ????

Du JF sometimes inavituko kweli, kwahiyo sikuhizi mamilioni =100Ml na Milioni mia itakuwaje. Unajua ukimfukuza mgonjwa wa akili aliyekuibia nguo yako mtoni wewe ndiyo utaonekana mgonjwa.

Mamilioni inaweza kuwa Milioni mbili mpaka mwisho wako wa kuhesabu ili mradi tu ni mafungu ya milioni milioni. Mtake radhi
CAMARADERIE kwa kumshambulia bila sababu. Hebu tuwe tunachangia hoja zaidi ya personal attacks kwani ni lazima mtu uchangie kama huna hoja, mbona sisi wengine kuna wakati huwa tunakuwa wasomaji tu!
 
Milioni 176 ni net baada ya kukatwa kodi(PAYE), na madeni mengine. Huyu alilipwa milioni 253. angalia ukurasa unaofuatia uone malipo yote. Usijemwonea huruma mwenye laki mbili angalia page yake ya pili, alikuwa na deni la mil 120.





Kuna wakati nafikia kufikiri kuwa nchi hii haina viongozi! Haina watu wenye dhati na maendeleo ya nchi hii. No even one leader to say NO to what is happening to our country. How could someone let some people to have a BIG portion of CAKE like that while others starving to death luck of food, shelter and medication! At the same time wanaendelea kutuimbia kale ka wimbo SISI NI NDUGU NA AFRICA NI MOJA! Shame! Hawa wanatakiwa wanyongwe hadi wafe kwa kusababisha maisha ya Watanzania walio wengi kuwa hatarini kiasi hiki! Makato ya mfanyakazi mnyonge wa nchi hii mnafanya ndo mafao ya kujitajirisha bila aibu! Mimi tangu mwaka jana nadai mafao yangu pale PSPF. Tangu june last year to date nothing have been done. Its just last week I heard that PSPF wanaidai Serikali 300Bilion. Fedha ambazo nimezitumikia tangu 1981 to date silipwi halafu watu wanajilipa 176,225,250! where are we hearding to guys! Something need to be done here! Sijui tunaanzia wapi ila Mungu atatuongoza kufikia mabadiliko ya lazima.
 
Katika fikra zako ambazo ni very numerate and literate (whatever that means) unaamini umetafsiri kwa usahihi kauli hii kwa Kiswahili?

receive from (the) fund millions of Tanzanians shillings (over a billion in total)
Andika "...watapokea mamilioni ya shilingi kila mmoja, jumla zaidi ya bilioni..."

Mwanzoni kabisa mwa madai yako ukianza na madudu ya hesabu na sarufi unaonekana huyu ninaemsoma hapa ni innumerate au half-illiterate fulani. Msomaji anasita kukipa uzito ulichoandika.

Chukulia kama wazo la kiuandishi, usibweteshwe na hawa thenashara wako wanaomeza kila unachoandika ambao wakiona umekosolewa wanapiga yowe "Pimbi huyo...hoja za kike." Ukizungukwa na wafuasi dizaini hiyo nyote mnapotea maana hao wote wanategemea uwasaidie kupata uelewa. Tatizo mfumo wa elimu yetu.
 
Mwenyekiti wa Bodi wa sasa hivi ni DR. Kapalata, mwakilishi wa TUCTA, hana lolote na ataidhinisha malipo kama hayo kesho.





Tumechoka na wizi huu mchana mchana no wonder Mkapa alimuweka mpwae aliyemsomesha kabla ya ku-retire William Erio ili a-facilitate wizi wa michango yetu.

BTW, hivi TUCTA haiwezi kusimamia hili wafanyakazi wote tukasitisha kupeleka michango yetu PPF na NSSF hadi sheria zilizoazisha mashirika hayo zibadilishwe tena kwa HATI YA DHARARULA ili

Wafanyakazi (wanachama) tuwe na direct say kwenye mashirika hayo
  1. Tuweze kumchagua MD
  2. Tuwe na wawakilishi kwenye bodi ya wakurugenzi
  3. Tuwe na direct say kwenye malipo ya pensheni
  4. Direct say kwenye investment za mashirika
  5. Direct say ya ku-hire and fire MD
Bila kuzifanyia malekebisho sheria ya bunge zilizoanzisha mashirika haya michango yetu itaendelewa kufisadia kwa msaada wa CCM. Jamani wafanyakazi tuamuke HAKI haitolewi kwenye kisahani cha dhahabu ENOUGH IS ENOUGH, Together we stand apart we fall TUCTA please lead this war. This is the same PPF iliyompatia Fredrick Sumaye soft loan (loan without interest) ya 500 millions wakati wa Mataka ili hali Sumaye si mwanachama wa PPF, wakati huo Sumaye alikuwa mwanachama wa PSPF. Hivi watanzania tumerogwa nani? Very one seems to think its non of his business, tuki retire ndiyo tunaanza kulalama

Kama tunategemea JK na serikali yake atamuchukulia hatua William Erio and its cronies that will never happen, I bet my neck! Sana sana atachofanya atasubiri mda wake ukikaribia kumalizika ataweka mtu wake kama Mkapa.
 
Andika "...watapokea mamilioni ya shilingi kila mmoja, jumla zaidi ya bilioni..."


Na unaamini hapo umeandika Kiswahili kizuri kikiwaklisha wazo langu nililotoa kwa Kiingereza ukisingizia kuwa ni msomi zaidi?
 
Taso,

Mbona umeshupalia non issues? Huna la kufanya au umetumwa kutuhamisha kwenye mada tuelekee kwenye uandishi. Umekua wewe!




Andika "...watapokea mamilioni ya shilingi kila mmoja, jumla zaidi ya bilioni..."

Mwanzoni kabisa mwa madai yako ukianza na madudu ya hesabu na sarufi unaonekana huyu ninaemsoma hapa ni innumerate au half-illiterate fulani. Msomaji anasita kukipa uzito ulichoandika.

Chukulia kama wazo la kiuandishi, usibweteshwe na hawa thenashara wako wanaomeza kila unachoandika ambao wakiona umekosolewa wanapiga yowe "Pimbi huyo...hoja za kike." Ukizungukwa na wafuasi dizaini hiyo nyote mnapotea maana hao wote wanategemea uwasaidie kupata uelewa. Tatizo mfumo wa elimu yetu.
 
Taso,

Mbona umeshupalia non issues?
Illiteracy sio non-issue. Hapa sio Michuzi.

Columnist wetu mkubwa anachemka basic arithmetic na sarufi. Lazima tuswalishe uelewa wake wa mambo. Kizazi cha Babu wa Liliondo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom