Wadau kwa anaejua malipo ya magari yenye usajili wa Zanzibar yanayo tumika huku Tanzania bara.
Ningependa kujua kama malipo yanafanywa kwa kipindi maalum ambacho unaomba kutumia ama kwa mwaka mzima?
Malipo yanategemea cc za gari ama kuna category maalum za kuzingatia?
Ningependa kujua kama malipo yanafanywa kwa kipindi maalum ambacho unaomba kutumia ama kwa mwaka mzima?
Malipo yanategemea cc za gari ama kuna category maalum za kuzingatia?