Malipo ya mabomu,Gongo la mboto

prakatatumba

JF-Expert Member
Oct 17, 2011
1,328
190
Waathirika wa mabomu Gongo la mboto wamesusia hundi za malipo yao ya uharibifu wa vyombo,mama mmoja akiojiwa amesema hawezi kupokea hundi ya malipo ya elfu moja(1000/=) wakati nauli ya kufuatilia ametumia elfu kumi na tano.Mkuu wa mkoa amesema wapeleke malalamika yao kwake halafu yatashughulikiwa lasvyo hela inarudishwa hazina.(WAPO REDIO 98:00,HABARI YA SAA SITA MCHANA)
 
Kuna errors nyingi sana zimetokea haiwezekani kulipwa 1000/=Tsh,wapeleke malalamiko ngazi ya juu zaidi.
 
Waathirika wa mabomu Gongo la mboto wamesusia hundi za malipo yao ya uharibifu wa vyombo,mama mmoja akiojiwa amesema hawezi kupokea hundi ya malipo ya elfu moja(1000/=) wakati nauli ya kufuatilia ametumia elfu kumi na tano.Mkuu wa mkoa amesema wapeleke malalamika yao kwake halafu yatashughulikiwa lasvyo hela inarudishwa hazina.(WAPO REDIO 98:00,HABARI YA SAA SITA MCHANA)

elfu moja! Dah!
 
Kama kawaida watendaji wa serikali ya ccm kujinufaisha kupitia matatizo ya wananchi.

Sidhani kama hata huyo mkuu wa mkoa atakuwa na msaada wowote zaidi ya kuwapa maneno ya matumaini fake!

Mbagala tuliona watu walivyodhulumiwa na sasa g/mboto wanadhulumiwa kwa staili ile ile na watendaji wale wale.
 
Kama kawaida watendaji wa serikali ya ccm kujinufaisha kupitia matatizo ya wananchi.

Sidhani kama hata huyo mkuu wa mkoa atakuwa na msaada wowote zaidi ya kuwapa maneno ya matumaini fake!

Mbagala tuliona watu walivyodhulumiwa na sasa g/mboto wanadhulumiwa kwa staili ile ile na watendaji wale wale.

baadh ya raia wamesema hawataki hela wachengewe pamoja na kununuliwa hvyo vi2
 
Sishangai watu walilipwa elfu tano kuhamishwa bonde la mzakwe bila aibu....dah hii nchi hii
 
Back
Top Bottom